Nungunungu
JF-Expert Member
- Feb 13, 2007
- 311
- 13
Wanafunzi 499,274 asubuhi hii wanaanza mtihani ya kumaliza elimu ya kidato cha nne wakianza na somo la Hisabati ambalo kwa sasa ni kama janga la Kitaifa.
Matokeo ya mwaka jana kitaifa kwa somo hilo yalikuwa: F- 77% na 23% zilizobaki ndio walipata A, B, C na D.
Mwaka huu mambo yatakuwaje, ni jambo la kusubiri.
Tunawatakia kila la heri vijana wetu katika mitihani yao.
Matokeo ya mwaka jana kitaifa kwa somo hilo yalikuwa: F- 77% na 23% zilizobaki ndio walipata A, B, C na D.
Mwaka huu mambo yatakuwaje, ni jambo la kusubiri.
Tunawatakia kila la heri vijana wetu katika mitihani yao.