kichwa kinaniuma nifanyeje mwenzenu

kichwa kinaniuma nifanyeje mwenzenu

The End..

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2013
Posts
4,362
Reaction score
3,846
Habari zenu wana MMU hope wengi wenu wazima!

Mwenzenu nina jambo linaloniumiza kichwa sana!

Nina rafiki yangu ambaye tulikwazana muda kidogo uliopita ambapo hadi sasa hakuna anayemsalimia mwenzie!

Huyo rafiki yangu ana mpenzie ambaye juzi ya jumatatu nimepishana naye gesti akitoka na mtu ambaye ninamfaham kuwa ni mwathirika wa HIV (ninamfahamu huyo mtu coz ni jirani yangu wa karibu sana) sasa nahitaji kumtahadharisha huyu rafik yangu niliyegombana naye ila sijui hata pakuanzia sababu hatuelewani hata chembe,

Nipeni ushauri sababu hilo jambo ni zito kwangu,
 
^^
Tafuta mtu mwingne anaemuamini, umweleze kwa kirefu na kupitia yeye akamhadharishe.
Kumsaidia mtu pasipo yeye kujua ni zawadi njema ipitayo wema wa njiani
^^
 
Timiza wajibu wako asipokuamini basi

Wanaume huwa hawachuniani, hilo ni bifu la kike...
msaidie rafiki ako mwambie, ila na kusutwa ujiandae
make mambo ya wapenzi waachie wapenzi wenyewe,
watagombana ila wakipatana unalo!!!!!

Mueleze tu ila sijui atapokeaje,lakini wewe utakua huna dhambi tena

It is possible, you can do it.

Yeah true

How???
mwelezeni jinsi ya kufikisha ujumbe
 
Kumbe na wewe ulikuwa unatoka GESTI,Na ulijuaje huyo ni HIV Victims,je ulishawahi kumpima?
 
umeshasema rafiki,yote kati ya haya mawili yanaweza kutoke.
unaweza kumwambia urafiki wenu zamani ukarejea au ikawa uadui ukazid zaid.
ingekuwa mim ningemwambia bila kupepesa macho ili akija kupata matatizo nijue nilishamtahadharisha mapema, roho isinisute
 
Nini chanzo kikuu cha kugombana na Rafiki yako?
 
Naona ushauri wa Himidini utakufaa sana
 
Last edited by a moderator:
Mtumie msg,email bila yakuweka identity yako,mwambie tu nakutaarufu hivi ili ukacheki afya yako na ya huyo mpenzi wako.lazima tu atashtuka na kutake action,incase of anything.unaweza fungua fake email account.
 
Habari zenu wana MMU hope wengi wenu wazima!
mwenzenu nina jambo linaloniumiza kichwa sana!
nina rafiki yangu ambaye tulikwazana muda kidogo uliopita ambapo hadi sasa hakuna anayemsalimia mwenzie!
huyo rafiki yangu ana mpenzie ambaye juzi ya jumatatu nimepishana naye gesti akitoka na mtu ambaye ninamfaham kuwa ni mwathirika wa HIV (ninamfahamu huyo mtu coz ni jirani yangu wa karibu sana) sasa nahitaji kumtahadharisha huyu rafik yangu niliyegombana naye ila sijui hata pakuanzia sababu hatuelewani hata chembe,,,
nipeni ushauri sababu hilo jambo ni zito kwangu,,,!!!


Wewe una uhakika gani kuwa walienda kufanya ngono?
Na huyo unayedhani ni muathirika uliambiwa tu au ametangaza mwenyewe.
 
kinachokutisha nini?? tekeleza nafasi yako, maamuzi muachie mwenyewe
kama mlishagombana huna cha kupoteza hata akikasirika
 
It is possible, you can do it.
Godfrey Jackson

hey-you-can-do-it.jpg
 
Kumbe na wewe ulikuwa unatoka GESTI,Na ulijuaje huyo ni HIV Victims,je ulishawahi kumpima?


kama nilivyoandika hapo juu kuwa huyo mwathirika ni jirani yangu wa karibu sana namaanisha hadi ratiba zake za kuchukua dawa ARV ninaijua in short ni mpangaji wetu na mimi nimezoeana sana!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom