Kichuri

mkuu,nikipata muda nitakueleza kichuri ni nini,dah mkuu natamani likizo ifike haraka nisepe zangu home

Kichuri sio uchafu maana inachemshwa na kuiva.

Mnyama yeyote mula nyasi ana matumbo mawili (kubwa na dogo) na ndo maana mchana kutwa anakula tu then jion anacheua na kuanza kutafuta na kumeza. Akiisha meza kile chakula kinachanganyikana na nyongo ili kirainishwe then kinaenda kwenye utumbo mdogo tayari kuwa absobd mwilini ili huyo kiumbe apate nguvu, sasa baada ya kufyonzwa mwili ambapo ni pure food/ingrients sasa yale makapi ndo choo, kichuri ni ule rojorojo ambalo ndo linakuwa tayari kufyonzwa i mean kuwa absorbed mwilini so its among best and pure food or sauce ever maana inakila kitu ambacho kinahitajika kwa mlaji na ndo maana ulila huvimbiwi na pia inapunguza madhara ya nyama ya mbuzi hasa kwenje joints na ndo maana mara hakuna mgonjwa wa gaoti.

Ili kupata taste nzuri unachanganya na nyongo, chumvi, pilipili, ndim then ipike iive vizuri.

Ni bonge la apetiser😉:thumbup::thumbup:
 
Otang'eriiii moghaka......tamu sana
 
eheee bhana eheee
ulikuwa kwenye msiba wa babu yako nn!!!

December hiyooooo tukutane mahome kuwachinjia wazeee

ochuri, chind an'get,adundo,chuny,kichenge,agoko gi ring bat!!!!!UTAIPENDA MARA!!!!!!!!!

mura mbona tena unaanza kunichuria mura?
 
Hahaha watu wa Mara ndiyo maana wana nguvu sana maana hawaachi asili hata kama wapo mjini.Kwa hapa Dar kichuri tunakipata maeneo ya Kitunda ingawa ni kwa order maalumu ila si mbaya

Hata kule Brake point opposite na kijiji cha makumbusho au LAPF Tower
 
Umenikumbusha kijiji siku ya mnada zile nyama tamu jamani na kichuri + bukima ukishushia na bhusara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…