yaani mkuu ukipata hii kitu alfajir,unaweza kutembea kwa miguu kutoka gamasara hadi mmazami ndo upande gari.full morali,full shibe,full kujiamini,full hata kamchezo ketu kare mura......
Hahaha watu wa Mara ndiyo maana wana nguvu sana maana hawaachi asili hata kama wapo mjini.Kwa hapa Dar kichuri tunakipata maeneo ya Kitunda ingawa ni kwa order maalumu ila si mbaya