Sie Dar huku huwa tunasema hicho kinakuja ukimla chabo mkweo, sasa mama d, mnhhh. Anyway, nenda kwa daktari wana ki "remove" in 2 seconds, daktari mzzuri wa hivi vi minor surgery, jando na kadhalika, nimjuae mimi, ni Dokta Juma, clinic yake ipo pale club ya Pan Africa mtaa wa swahili, Dar.
Nakutakia kila la kheri.