Kichuguu ni nini?

πŸƒπŸΏπŸƒπŸΏπŸƒπŸΏπŸƒπŸΏView attachment 3373727
Nitakuburuza aisee; damu imeanza kunichemka. Nitakuburuza sana nikifikia kikomo cha uvumiliaji. Usitake kunichafulia heshima yangu hapa JF ambapo nimekuwa mwanachama mwaminifu kwa takribani miaka 20 ya kujitolea kwa heshima sana. Ngoja nikapate wanzuki galoni tatu ili kama hutakuwa ume-apolojaize kwangu na kwa mai waifu wangu wakati narudi utapata tabu sana.
 
πŸ₯ΊπŸ₯ΊπŸ₯ΊπŸ™ŒπŸΏπŸ™ŒπŸΏπŸ™ŒπŸΏπŸƒπŸΏπŸƒπŸΏπŸƒπŸΏπŸƒπŸΏπŸƒπŸΏπŸƒπŸΏ
 
Kisima cha elimu na maarifa. Zipi njia za kuondoa vichuguu karibu na ma kazi ya watu?
Aliyemkuta mwenzake ndio wa kuondoka.. Kwa kawaida vichuguu huwa haviwafuati watu.. Lakini ukishaona makazi yako yamevamiwa na mchwa sio dalili nzuri. hama!
 
Kisima cha elimu na maarifa. Zipi njia za kuondoa vichuguu karibu na ma kazi ya watu?
Na wewe unataka kununua kesi isiyokuhusu! Ni Marufuku kutumia neno Kichuguu au Vichuguu bila idhini yangu! Ukikiuka, nitakuburuza kwa pilato na utasulubiwa msalabani kwa misumali ya moto. Kabla ya kutumia maneno hayo lazima uombe ruksa toka kwangu.
 
Na wewe unataka kununua kesi isiyokuhusu! Ni Marufuku kutumia neno Kichuguu au Vichuguu bila idhini yangu! Ukikiuka, nitakuburuza kwa pilato na utasulubiwa msalabani kwa misumali ya moto. Kabla ya kutumia maneno hayo lazima uombe ruksa toka kwangu.
Haki milikiπŸ™ŒπŸΏπŸƒπŸΏ
 
Kichuguu ni ghorofa nyingi zilizopo pale mjini dar es salaam ambazo bado zipo na zilitakiwa kubomolewa zote.

Wabomoe zote Mana siku sio nyingi mtaskia marudio live live.
 
Kichuguu ni ghorofa nyingi zilizopo pale mjini dar es salaam ambazo bado zipo na zilitakiwa kubomolewa zote.

Wabomoe zote Mana siku sio nyingi mtaskia marudio live live.
DuhπŸ₯ΊπŸ₯ΊπŸ₯Ί
 
So
Sorry, hivi Mchwa wakiwa wakubwa na kuzeeka ndio wanakuwa Malkia? Au wanakuwa tu kumbikumbi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…