BABA JUICE
JF-Expert Member
- Sep 5, 2010
- 426
- 54
Nami ngoja nizungukwe na wanawake pande zote ili nicheke tehe tehe,Lazima kacheke kamezungukwa na wanaume pande zote :love::love::love::love:
Nimependa alivyo 'free' bila kujali anacheka na nani,labda anafahamu waziri mkuu ni mwajiriwa wake.View attachment 26825
Duuuh kweli hicho ni kicheko toka moyoni,
Inawezekana mzee kamwomba namba ya simu si unaona binti kashika simu ?Isijekuwa huyo nanilii anamtekenya. Lol!
Inawezekana mzee kamwomba namba ya simu si unaona binti kashika simu ?
Khaa mawazo yako mmh kweli we ndo Maria Roza!!Tena dume moja ni premier!!Lazima kacheke kamezungukwa na wanaume pande zote :love::love::love::love:
Nimependa alivyo 'free' bila kujali anacheka na nani,labda anafahamu waziri mkuu ni mwajiriwa wake.