Mtalingolo
JF-Expert Member
- Aug 4, 2011
- 2,181
- 410
Habari wana JF wenzangu? Naimani mmeianza weekend vyema,
Nduguzangu mie kunajambo ningependa kufahamishwa inakuaje hapa, nimepata kushuhudia baadhi ya vichaa/wagonjwa wa akili wakiwa wajawazito, sasa swali inakuwaje hapo. Hv kunamtu na akilizake anaweza kufanya mapenzi na vichaa/kichaa?? Au ni kitu gani huwa kinawapata?
Nawasilisha...
mmimi huwa nasema kila siku kuwa katika miujiza ya dunia
basi sisi wanaume ni miujiza tosha
yaani mwanamke kuolewa ni bahati lakini kufa bikira ni impossible lol
huo ni muujiza tosha
fafanua Boss
futa kauli mama! Inamaanisha vichaa wakiume huwa hawapew mzigo na wanawake timamu?Inahitaji kichaa kumtia mimba kichaa mwenzake.
Jiulize hivi.... daktari wa kiume anambaka mama aliyetoka kujifungua
Baba anamtaka mfanyakazi wake wa ndani anayemlelea watoto wake!
Baba anambaka binti yake wa kumzaa....
mwanaume anabaka kitoto kidogo cha miaka 5,6....
Mwanaume anabaka ajuza wa miaka 80! AMBAYE HATA HAKUMBUKI TENA HUO MCHEZO UKOJE maana alishaachaga kama miaka 30 iliyopita.
Halafu bado unashangaa?
Jibu ni kuwa kwenye sex wanaume wengi hawana tofauti na vichaa!
Mkuu mbona hio ipo wazi....
Mkuu mbona hio ipo wazi....
Inawezekana kichaa alitaka mchezo mwenyewe na akapewa haki yake ya msingi
The Boss bwana, hizo v zinarudishwa wapi? Ah hii thread imenikumbusha primary, shuleni kwetu kulikuwa kuna mama mmoja kichaa lakini alikuwa anazaa watoto wazuuuri hao!
But huyu watoto wa kijiweni, wavuta bangi na walinzi wa sehemu alizokuwa analala ndio waliokuwa wanamzalisha.
Inahitaji kichaa kumtia mimba kichaa mwenzake.
Jiulize hivi.... daktari wa kiume anambaka mama aliyetoka kujifungua
Baba anamtaka mfanyakazi wake wa ndani anayemlelea watoto wake!
Baba anambaka binti yake wa kumzaa....
mwanaume anabaka kitoto kidogo cha miaka 5,6....
Mwanaume anabaka ajuza wa miaka 80! AMBAYE HATA HAKUMBUKI TENA HUO MCHEZO UKOJE maana alishaachaga kama miaka 30 iliyopita.
Halafu bado unashangaa?
Jibu ni kuwa kwenye sex wanaume wengi hawana tofauti na vichaa!