Mwedazake aliipandisha juu zaidi hasa octoba 2020Inawezekana mwendazake aliamua kulishusha chini hilo sahani lililobebwa, akaliweka katikati ya wabebaji?
Waliobebwa wakashindwa kupambania waliyoyazoea, wakajikuta hotdogs zimeshavamiwa, kreti ziko tupu na gari inakimbiza wajawazito zahanati?
Kwamba mama ameshaipandisha sahani juu, anaanza kupanga wa chini ya sahani na wa juu ya sahani?
Ni maswali tu yaliyonijia.
Hakika kabisa.Inawezekana mwendazake aliamua kulishusha chini hilo sahani lililobebwa, akaliweka katikati ya wabebaji?
Waliobebwa wakashindwa kupambania waliyoyazoea, wakajikuta hotdogs zimeshavamiwa, kreti ziko tupu na gari inakimbiza wajawazito zahanati?
Kwamba mama ameshaipandisha sahani juu, anaanza kupanga wa chini ya sahani na wa juu ya sahani?
Ni maswali tu yaliyonijia.
Hivi wee rafiki una nini lakini?![]()

kupona kwake ni ngumu aombewe tu apate nafuu si unajua mwendawazimu haponi anapata afadhali tu.