Kibonde_clouds live, hataki mabadiliko

Nimesoma kwa makini michango ya watu wote waliochangia tread hii, nilichogunduwa 90% mnampenda sana kibonde ndio maana mnaendelea kusikiliza redio ya Mashoga hiyo redio watu makini waliacha kuisikiliza miaka mingi iliyopita, ni sawa leo mtu hapa aje na hoja ya kulilalamikia gazeti la mtanzania au rai au uhuru wakati unajuwa ni mali ya mafisadi je akili yako ni kwa nini tusiitilie mashaka? leteni hoja za msingi hapa javini na sio viroja. by the way who is kibonde? nilitegemea mtu hapa alalamike kwamba larry king topic yake ya jana haikunifurahisha au kipindi cha hard talk cha bbc cha jana kilinifurahisha, wewe unaleta habari za redio za udaku hapa? ndio maana mada za JF siku hizi zimekuwa za hovyohovyo, maana kumbe tunaodhani ni magreat thinker hata magazeti wanayonununwa ni kiu, uwazi, ijumaa, ijumaawikienda, sani n.k. kazi ipo.
 
hiyo katiba yenyewe tunaijua??????? au ndo bendera kufuata upepo....? oke tujadili vipengele vinavyohitaji mabadiliko kwa kuvionyesha dhahiri shairi

Nakuomba ubadilishe hiyo Avatar yako kwani mtu akiiona anaweza fikiri wewe ni mwelewa kumbe pumba tupu, kutokuilewa katiba iliyopo si kigezo cha kutokuwa na katiba inayokithi maslahi ya Watanzania. Au unamaana kuwe na katiba mbili ya wale wanaoilewa ya sasa na iliyopo iendelee kutumiwa na wale wasioilewa, be a greath thinker.
 
Tofauti na marehemu kaka zake ( DJ. Kalikali na Ras Kalikawe) Kibonde ni bonge la kilaza ambaye 'hafundishiki' ata iweje, binafsi nilisoma naye pale Shaban Robert yaani darasani ilikuwa ni tabu tupu, kwanza binafsi nawashangaa Clouds kumuajili mtu ambaye hana ata 'certificate' ya fani yoyote ( siyo tuu uandishi wa habari / utangazaji) kwa maana tumeishi naye mtaani tangu utotoni adi alipoanza kuuigiza uu MC pale Don Bosco upanga and the CTN Tv hakuwai kwenda chuo chochote, utotoni ( mid 80's) nilimpiga sana makonzi na mitama kwa ununda wake....
 
ukweli nilimsikia kipindi chote na wengine watangazaji walikuwa wanchangia kikubwa nilichojifunza kutoka kwao ni uelewa mdogo wa waandishi wengi wa habari katika mambo mengi hasa ya msingi kama ili la katiba mpya.K1bonde anadai kwamba hata wale wanaodai katiba mpya kwa kuandamana ati hawajui hata hiyo katiba sansan wanatumiwa na wanasiasa kwa manufaa yao.aliongeza kusema kuwa ni bora watanzania wote waelimishwe katiba iliyopo ndipo wadai katiba mpya.hapa ndipo nilipomuona kibonde wa mambo kama jina lake lilivyo.hata hiyo elimu anayosema ikiendeshwa kwa watanzania wote kama anvyodai bado hawataielewa kubwa .i kutokana na mfumo wa elimu na watu wetu walivyo na jinsi katiba zenyewe zinavyoandikwa katika mfumo wa kueleweka zaid kwa watu wenye uelewa wa sheria.aidha mabadiliko yeyote si lazima watu wote washiriki kwenye mabadiliko kama anavyosema kibonde.mfano wa hili tuliona wanaharakati wa haki za akina mama TAMWA walivyoshiriki kikamilifu mabadiliko ya sheria ya unyanyasaji akina mama na watoto lmpaka sheria maarufu kama SOSPA ikatungwa lakini hatukuona watoto au akina mama nchi nzima kama waliulizwa kujua ile sheria ya zamani ilikuwa imeandikwa nini au ni sheria ngapi zinatungwa lakini hazishirikishi watanzania wote kutoa maoni?nadhani KIBONDE anasumbuliwa na shule sielewi vema kiwango cha shule yake lakini kwa hoja zake nyingi ambazo nimekua namsikia anatoa anaonyesha yuko shallow sana na ili limejidhiirisha wakati wa uchaguzi mkuu.KIBONDE hajui maana ya wanaharakati,wanazuoni,social groups za aina yote kuwa ni wawakilishi wa wananchi wasio elewa maana ya katiba na ndio pia walishiriki kuelimisha wananchi umuhimu wa kupiga kura hatukuwai kuona serikali ikiwaelimisha wananchi umuhimu wa kupiga kura.lakini kibonde sote tunamwelewa ni partisan wa chama fulani ambao hawapendi mabadiliko ya katiba sitashanga kuona wanatumia clouds ili kuwapotosha watu katika ili la mabadiliko ya katiba
 
Huyu dada alitegemea apewe ubunge wa viti maalumu baada ya kukosa anajaribu bahati yake kwenye uDC,mwacheni dada wa watu ajishebedue, huenda JK akamuona kwani wadada wengi wanalipwa fadhila kwa kugaiwa uDC
 
Huyu EK nadhani kama anatumiwa na watu kwa masilahi yao, afike mahali awe anchanganya na za kwake- kama anazo. Huwezi wewe kama mtangazaji tu uwafanye watu wooote wakiwemo ma-professor hawana akili. Ni mbaya mno kwani hata mtoto wa mkulima amesema hana tatizo na hili.

wewe EK unaijua katiba tangu lini? Tukukumbushe maana nyie wasema hovyo hamna data. Katiba enzi za Mwl ilikuwa ni Nyara ya serikali, ulikuwa huruhusiwi kuwa nayo. hata baada ya kulegeza masharti inapatikana kwenye maduka maalum kwa bei ya juu, tena mijini tu. Sasa Kibonde atuambie hao wazazi wake huko waliko wana uwezo wa kuinunua??!! yule mama aliyesema igawiwe kama kondomu alimaanisha itolewe kwa wingi tena BURE maana ni ya muhimu kuliko hata hiyo kondomu
 
Kibonde live, ana critisize mabadiliko ya katiba kama kaka yake werema_watu wanapata wapi power hii ya kuzungumza upumbavu? Shime watz, watu tumekaa kimya wanatuona mabwege_hivi kwann_tz hiv ni ya nan! Huyo kibonde nae mjua mimi ana nin? Anajidai nin? Ndugu zangu hapa nahasira_achen tu
Haya umeondoka....sisi tuliobaki tunataka mabadiliko ya katiba

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom