Kibonde wa Clouds anaharibu

Kibonde wa Clouds anaharibu

Gabhiteka Manji

Senior Member
Joined
Apr 6, 2012
Posts
141
Reaction score
44
Katika kipindi cha Jahazi (Clouds FM) cha jana 3/1/2013, nilishangazwa sana na hatua ya Bw.Kibonde kuwaita wakazi wa Mtwara ni "WAPUUZI".
Kwa kufanya hivyo, amevuka mipaka hata kama alikuwa na uhuru wa kutoa maoni yake. Kama mtangazaji hakupaswa kuchukua kuegemea upande wa serikali na kupuuza maoni ya wananchi, kwa namna yoyote ile huyu mtu amekiuka miiko ya utangazaji.
Ni jambo baya kutumia radio kukandamizakilio cha wengi kwa sababu tu yupo nyuma ya kipaza sauti. Ni bora waanzishe tafiti hata kwa njia ya kupiga simu au kutuma sms ili kusikia wananchi wanasemaje na si kuwatusi.
 
Ni wapi imeandikwa kuwa commentators na shock jocks hawatakiwi kutoa maoni yao hewani?
 
Ni wapi imeandikwa kuwa commentators na shock jocks hawatakiwi kutoa maoni yao hewani?
Rules and regulations on airing matusi, kashfa, extreme opinions and public broadcast of speech unbecoming of Tanzanian traditionists.

Tanzania Communications Regulatory Authority.
 
Rules and regulations on airing matusi, kashfa, extreme opinions and public broadcast of speech unbecoming of Tanzanian traditionists.

Tanzania Communications Regulatory Authority.

Matusi gani? Yameorodheshwa? Extreme opinions and public broadcast of speech unbecoming of Tanzanian "traditionists" ndiyo mashudu gani hayo?

Nani anaamua hii ni extreme opinion unbecoming of Tanzanian "traditionists" na ile siyo extreme opinion unbecoming of Tanzanian "traditionists"? Wewe?
 
Nani anaamua hii ni extreme opinion unbecoming of Tanzanian "traditionists"
Minister of Information, Youth and Culture.

By rules and regs promulgated by Tanzania Communications Regulatory Authority, to preserve, protect and defend the healthy morals and ethos of Tanzanian society.
 
Ngabu acha hizo bwana.. usimtetee Kibonde maana anaegemea upande wa serikali.. Marekani kila jimbo ni tajiri kwa urithi wake, sio Tanzania kila kitu Dar-es-Salaam

Angeegemea CHADEMA mngelia kama mnavyolia humu au ndiyo kwanza mngemwagia misifa kedekede?
 
Amekupokonya mke nini, kila siku mna amka na Kibonde kama humtaki sifungua redio nyingine. Furaha yako aisifie CHADEMA anzisheni redio yenu.
 
Angeegemea CHADEMA mngelia kama mnavyolia humu au ndiyo kwanza mngemwagia misifa kedekede?

Huoni kwamba anaiharibia redio yake? Mtwara wakiisusia kisa wameitwa wapuuzi, si Clouds itakuwa imepoteza sehemu kubwa ya audience?
Kwa maoni yangu, hakupaswa kutoa maoni yake on air kama ilikuwa lazima ayatoe kwa style na lugha kama hiyo.
 
Huoni kwamba anaiharibia redio yake? Mtwara wakiisusia kisa wameitwa wapuuzi, si Clouds itakuwa imepoteza sehemu kubwa ya audience?
Kwa maoni yangu, hakupaswa kutoa maoni yake on air kama ilikuwa lazima ayatoe kwa style na lugha kama hiyo.

Kwa maoni yangu sioni ubaya wowote ule yeye kutoa maoni yake. Hata wanaomponda humu nao wanatoa maoni yao na hakuna anayedai JF ifungwe au watu wazuiwe kutoa maoni yao. Kila siku humu watu wanatumia lugha kali dhidi ya CCM na hakuna anayepinga. Lakini thubutu kuisema CHADEMA uone.

Kwa hiyo asiyependa maoni ya Kibonde basi na azime Clouds FM na afungulie Radio One, Magic FM, East Africa radio, Times FM, na kadhalika kama vile asiyependa JF ana uhuru wa kwenda kwenye blogu ya Le Mutuz, Sintah, Mange, au hata Da Jamilla aka Jestina Joji.
 
Mtwara People “Arise, shine, for your light has come, and the glory of the LORD rises upon you.
See, darkness covers the earth and thick darkness is over the peoples, but the LORD rises
upon you and his glory appears over you. Nations will come to your light, and kings to the
brightness of your dawn.
 
Watoa maoni JF, sio waajiriwa wa JF na hawahusiki sana na reputition ya JF (wanapaswa tu kufuata sheria), lkn wachache sana wanajali kama JF inapata waingiaji wengi au la.

Of course msikilizaji anayo machaguo, kama hapendezwi na kipindi au hata redio fulani. Nimejiweka nafasi ya mmiliki wa Clouds, ambaye kama mfanyabiashara nahitaji wateja wengi; ndio maana nikaona Kibonde amekosea; lkn l am not so it shouldn't concern me kabisa.

Kwa maoni yangu sioni ubaya wowote ule yeye kutoa maoni yake. Hata wanaomponda humu nao wanatoa maoni yao na hakuna anayedai JF ifungwe au watu wazuiwe kutoa maoni yao. Kila siku humu watu wanatumia lugha kali dhidi ya CCM na hakuna anayepinga. Lakini thubutu kuisema CHADEMA uone.

Kwa hiyo asiyependa maoni ya Kibonde basi na azime Clouds FM na afungulie Radio One, Magic FM, East Africa radio, Times FM, na kadhalika kama vile asiyependa JF ana uhuru wa kwenda kwenye blogu ya Le Mutuz, Sintah, Mange, au hata Da Jamilla aka Jestina Joji.
 
Of course msikilizaji anayo machaguo, kama hapendezwi na kipindi au hata redio fulani. Nimejiweka nafasi ya mmiliki wa Clouds, ambaye kama mfanyabiashara nahitaji wateja wengi; ndio maana nikaona Kibonde amekosea; lkn l am not so it shouldn't concern me kabisa.

Hivi unajua hata CLOUDS inasimama badala ya nini? Nadhani ukijua basi wala hutakuwa na ishu nao.

Na Kibonde kwanza yupo Clouds tokea lini? Kama kupoteza wasikilizaji basi ingekuwa ishapoteza siku nyingi sana. Lakini redio bado ipo, miaka 13 and kicking with no signs of slowing down anytime soon.

Na hawa hawa wanaolia liaga humu ndo mateja wakubwa kabisa wa Clouds kwani huwezi kuja kujiliza liza hapa kama hauwasikilizi.

Kibondee oyeeee. Clouds oyeee.
 
Hahaha, Nyani Ngabu, nikikuita mpuuzi utakuwa ok? Umenikumbusha kuna ofisi ilibidi tukubaliane kuwa neno mpuuzi ni offensive na halitatumika kiofisi. Manake tulipata CEO lilikuwa at the tip of her tongue.
 
Last edited by a moderator:
Anatafuta ukuu wa wilaya kwa nguvu zote, leo hii hata Jk aseme anaruhusu mahusiano ya jinsia moja, mtu wa kwanza kulipigia debe atakua kibonde
 
Angeegemea CHADEMA mngelia kama mnavyolia humu au ndiyo kwanza mngemwagia misifa kedekede?

sasa suala la kuegemea upande wa serekali na mafuta mtwara linahusiana vp na chadema uliyoanza itaja..? Naona unataka badili mjadala uwe wa kisiasa
 
Hata maoni yana mipaka yake na kuwa Mtangazaji haimaanishi kusema bila kuzingatia maadili.
Seems like u have short memories, kuna watangazaji wawili wa Australia walifukuzwa kazi kwa kosa la kujifanya wao ni Prince Charles na Queen Elizabeth na kumhoji nesi
wa hospitali moja Uingereza aliyopelekwa mke wa Prince Harry ambapo huyo nesi alijiua na wao wakapoteza kibarua?maneno km ya Kibonde yana impact mbaya sana kwa Radio na yeye mwenyewe pia.
 
Kwa maoni yangu sioni ubaya wowote ule yeye kutoa maoni yake. Hata wanaomponda humu nao wanatoa maoni yao na hakuna anayedai JF ifungwe au watu wazuiwe kutoa maoni yao. Kila siku humu watu wanatumia lugha kali dhidi ya CCM na hakuna anayepinga. Lakini thubutu kuisema CHADEMA uone.

Kwa hiyo asiyependa maoni ya Kibonde basi na azime Clouds FM na afungulie Radio One, Magic FM, East Africa radio, Times FM, na kadhalika kama vile asiyependa JF ana uhuru wa kwenda kwenye blogu ya Le Mutuz, Sintah, Mange, au hata Da Jamilla aka Jestina Joji.

tena ishia hapohapo, nimeshaonja Ban zaid ya mara 9 katika miez 6 tu! Sijui JF nao makanjanja wa CCM?
(nasikia harufu ya Ban nyingine, kwaherini)
 
Back
Top Bottom