bigpack1982
Member
- Apr 20, 2011
- 75
- 20
Hoja ya msingi hapa ni jinsi Kibonde alivyowaita wakazi wa Mtwara "WAPUUZI" kwenye chombo cha habari ambacho kinasikika Eneo kubwa la Tanzania.
Neno "WAPUUZI" alikuwa zuri kutumika Redioni,na hii haihitaji kujua saana sheria za vyombo vya habari kujua kwamba ni sawa au si sawa kutumia neno hili redioni katia njia ambayo dhahiri ni ya kudharau watu wa Mtwara
Suala hapa si kutafuta redio nyingine ya kusikiliza kwakuwa in many cases it is beyond our control ni redio gani usikilize(imagine you are in Public Transport na dereva kaweka hiyo radio ambayo hutaki kuisikiliza na abiria wengine wanataka kuisikiliza,etc) kwa hivyo inakuwa ngumu kusema utakwepa kusikiliza radio fulani 100%.Kimsingi alipaswa kutotumia neno hilo kwakuwa halikuwa zuri na pengine linachochea zaidi hasira kwa wana-Mtwara na watu wengine kiujumla.
Suala la maadili sio "choice", it is "mandatory" to stick to.
Mwandishi wa habari unapotakiwa kutoa maoni unatakiwa utoa maoni kulingana na hoja yenyewe na sio kuingiza maneno mengine ambayo ni ya uchochezi.
Neno "WAPUUZI" alikuwa zuri kutumika Redioni,na hii haihitaji kujua saana sheria za vyombo vya habari kujua kwamba ni sawa au si sawa kutumia neno hili redioni katia njia ambayo dhahiri ni ya kudharau watu wa Mtwara
Suala hapa si kutafuta redio nyingine ya kusikiliza kwakuwa in many cases it is beyond our control ni redio gani usikilize(imagine you are in Public Transport na dereva kaweka hiyo radio ambayo hutaki kuisikiliza na abiria wengine wanataka kuisikiliza,etc) kwa hivyo inakuwa ngumu kusema utakwepa kusikiliza radio fulani 100%.Kimsingi alipaswa kutotumia neno hilo kwakuwa halikuwa zuri na pengine linachochea zaidi hasira kwa wana-Mtwara na watu wengine kiujumla.
Suala la maadili sio "choice", it is "mandatory" to stick to.
Mwandishi wa habari unapotakiwa kutoa maoni unatakiwa utoa maoni kulingana na hoja yenyewe na sio kuingiza maneno mengine ambayo ni ya uchochezi.