rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 17,299
- 24,207
Nyie mnaoleta post kuhusu kibonde mnamkuza bila sababu ni sawa na wasanii wanaojitengenezea kashfa kwenye magazeti ya udaku ili wapate umaarufu na magazeti yanunuliwe sioni sababu ya kumjadili mtu ambaye anaongea upuuzi