HILI NI GARI ALILO GONGANA NALO KIBONDE NA MAMA UNAEMUONA KWA MBALI NDIE MMILIKI WA GARI HII
HAPA UNAWEZA JISOMEA NAMBA YA GARI YA HUYO MAMA
CHEKI GARI ILIVYO FUMUKA MWANAWANEEE YAAN ASANTE MUNGU WOOTE WAMETOKA WAZIMAA
HAPA NI GARI YA MTANGAZAJI IKIWA IMEBEBWA NA BREAK DOWN KWENDA POLICE
JAMANII POLEE KIBONDE MZEE WA ASALAAAM ALEYKUUUUU.
mabaya yatokeapo kwa watu wengine huwa hayawekwi hadharani mpaka yampate so-called CELEBRITY...!
1.MUULIZENI, GARI LAKE KUTOKA HAPO MOROCCO HADI (nadhani)OYSTERBAY POLISI kwa BREAK DOWN WALIPATANA?
2.JE MCHORO WA AJALI.....NDIVYO ULIVYOKUJA KUONEKANA SIKU YA PILI? PAMOJA NA MAELEZO YEKE? (kama hakumalizana)
MAWAZO YANGI; Gari iliyopata ajali,trafiki wasishinikize kwa lazima lipelekwe kituoni bila ya kupatana! Itafutwe njia ambayo haitaleta kero HASA KIPINDI HIKI CHA POLISI-JAMII
Chonde chonde ulevi nomaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa! Hili tangazo linamaana sana tofauti na wengi wetu tunavyodhani. Nadhani inafaa itungwe sheria kama umepata ajali ya gari au pikipiki polisi makithibitisha ulikuwa under alcoholic influence basi unyang'anywe leseni yako. Tutasaidia kupunguza ajali za stori za vileo vyovyote vile.
Kibonde sikuhurumii mdogo wangu, umekua ukilalalamikiwa sana na WaTz wenzio, hasa wazalendo, umekua kipofu asie na macho wala fikra, umekua duni kifikra na kimtazamo, umekua malaika wa shetani kati ya watakatifu watafutao ugali wao wa siku, umeitumia radio kama fagio la kupumbaza bongo zao. leo wajibika kwa laana zako, sikuhurumii , SIKUTAKII AMANI HATA CHEMBE.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.