sina muda wa kujadili mtu mwenye Ukimwi anayezidi kuuwa watoto wa watu
Jiulize kwanini aliumia sana walipogundua imeingia ARV feki?
Du!!!! haya...
sina muda wa kujadili mtu mwenye Ukimwi anayezidi kuuwa watoto wa watu
Jiulize kwanini aliumia sana walipogundua imeingia ARV feki?
Huu ni unyanyapaa, hata kama Kibonde ni mropokaji lakini anastahili FARAJA NA UPENDO KAMA WAGONJWA WENGINE...
sina muda wa kujadili mtu mwenye Ukimwi anayezidi kuuwa watoto wa watu
Jiulize kwanini aliumia sana walipogundua imeingia ARV feki?
sasa ajira yke kaweka rehan kiaje...
sina muda wa kujadili mtu mwenye Ukimwi anayezidi kuuwa watoto wa watu
Jiulize kwanini aliumia sana walipogundua imeingia ARV feki?
Jamani haya majibu ya tit for tat afu ya ukweli huwa mnajiandaa kabisa nini.Nimecheka sanaSasa mwenzio si ameshatangulia kusema yupo kwenye daladala?? Inawezekana ameandika akiwa kasimamia mguu mmoja. Daladala za mbagala kitu ingine wewe!!
Kwa nini hili jambo usingeshare na marafiki zako kule facebook? do you really think JF ni sehemu ya kujadili mahayawani?
Jamani haya majibu ya tit for tat afu ya ukweli huwa mnajiandaa kabisa nini.Nimecheka sana
Kama namuona na mimeno yake ilivyopandiana kama kitasa!!!.
Kama namuona na mimeno yake ilivyopandiana kama kitasa!!!.
Sio utani mzuri huu. Tubu kabla siku haijaisha.
Mpaka Dakika hii hakuna Mwanasiasa yeyote aliyejitokeza kupinga?
sina muda wa kujadili mtu mwenye Ukimwi anayezidi kuuwa watoto wa watu
Jiulize kwanini aliumia sana walipogundua imeingia ARV feki?