Siamini uwezo wa kibonde kama anaweza kuleta hoja hasa juu ya hili.Je kibonde anao uwezo kuriko marais wote wa Africa wanoimezea mate tuzo hiyo.? Je NGO anazosema kibonde zaaina gani,?,Je ANAKUMBUKA CHENJI YA RADA ,UK ILITAKA KUPITISHIA KWENYE NGO'S LAKINI SERIKALI HILIPINGA TENA KWA NGUVU ZOTE.?