Bibikuku ebu tuambie ni vipi huyu bwana alikuwa kiboko ya Lowasa?Mkuu wa wilaya ya Ilemela Mkoani Mwanza Luteni Kanali Mstaafu Serenge Mrengo amefariki Dunia.
Source; Habari Leo:hug:
Bibikuku,
Kama kumbukumbu zangu zinanipa vizuri kauli hiyo ilitolewa na Col Madaha aliyekuwa DC wa Nymagana wakati huo. Siyo Serenge(RIP).
Pengine mwenye uhakika 100% atusaidie.
Jamani, Madaha ha"kupambana" kama nionavyo hizo post hapo juu, mtowa mada anasema Serenge alipambana. Sasa mtowa mada hebu tuweke sawa hapa, ulikurupuka? au hawa wachangiaji wengine wanaongea issue tofauti?
Bibikuku,
Kama kumbukumbu zangu zinanipa vizuri kauli hiyo ilitolewa na Col Madaha aliyekuwa DC wa Nymagana wakati huo. Siyo Serenge(RIP).
Pengine mwenye uhakika 100% atusaidie.
Poleni wafiwa.
Lakini mbona wakuu wa wilaya za Mwanza ambako CCM ilipoteza kwenye Ubunge (Nyamagana na Ilemela) ndio wakuu wake wa Wilaya wamekufa? Kunani?