The art of cross examination is instinctive! You can never learn its perfection in school!Duh. Hili somo la sheria nadhani lingeanza kufundishwa walau kuanzia.shule za sekondari ili kupanua uelewa kwa raia.. asante.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ndiye ambaye hauko technical kabisa. Maswali hayo ya wakili wa utetezi unayoyabeza yamemlazimisha shahidi wa Jamhuri kukiri kuwa hajui lolote kuhusu kesi anayoishuhudia wewe unadai hayako technical?Ndio maana unakuta kesi nyingi zinachelewa sana kuna maswali mengine ni upotezaji wa muda tu na hayapo technical kabisa
Ni ya kawaida sanaWewe ndiye ambaye hauko technical kabisa. Maswali hayo ya wakili wa utetezi unayoyabeza yamemlazimisha shahidi wa Jamhuri kukiri kuwa hajui lolote kuhusu kesi anayoishuhudia wewe unadai hayako technical?
Hayo hayo ya kawaida ndiyo yamempoteza shahidi mpaka anajipinga.Ni ya kawaida sana
Kaz ya shahid ni nn mahakamani? Unajua nia ya yeye kukataa Yale maswali?Hayo hayo ya kawaida ndiyo yamempoteza shahidi mpaka anajipinga.
Mkuu usitafute visingizio,ni ujinga wao tu,police wapo wangapi na watanzania wapo wangapi? Je watanzania wasio police wanaishije hadi yeye akiacha upolice ashindwe kuishi?Mnawalaumu tu hawa askari!
Hawa wanatumwa tu na hawawezi kataa kufanya wakitumwa sababu hamna sheria ya kuwalindia kazi yao,na tukumbuke kazi hii ndiyo inafanya waishi wao na familia yake!
Kama tungekuwa na sheria ya kulinda hawa askari wetu asipoteze kazi akikataa amri haramu ya wakubwa zake haya yasingekuwepo!
Hapa hamna kesi ni upuuzi tu
Anajua tu idai ya risasi tu zilizopigwa hewani ila hajui kifo cha Akwilina imetokana na niniSasa huyu kaenda kufanya nini hapo na kila kitu hajui
Kaka ukisoma katiba kwenye dispensation of justice Article 107A(2)(e) kwenye kutoa haki mahakamani kusiwe na technicalities zinazozuia haki kutolewa...Ndio maana unakuta kesi nyingi zinachelewa sana kuna maswali mengine ni upotezaji wa muda tu na hayapo technical kabisa
Yeye sio daktar alie Fanya PM hilo swali asingeweza kujibu na angejibu angeulizwa swal jingne je wewe ni daktar na mwenye kujua chanzo cha kifo ni daktar kwa kufanya PMAnajua tu idai ya risasi tu zilizopigwa hewani ila hajui kifo cha Akwilina imetokana na nini
UPO SAHIHI MKUU, MAHAKAMANI UKIJIFANYA KUJIBU KILA SWALI AU UKALETA UJUZI MWINGI JUA UNAPIGWA CHINI FASTA. SHAHIDI AMEJITAIDI SANA KUJIBU YALE YANAYOMHUSU TU. ANGEJIBU KAMA WENGI WANAVYOTAKA HUMU ASINGETOBOA.Yeye sio daktar alie Fanya PM hilo swali asingeweza kujibu na angejibu angeulizwa swal jingne je wewe ni daktar na mwenye kujua chanzo cha kifo ni daktar kwa kufanya PM
Ndio hvyo watu hawaelew hayoUPO SAHIHI MKUU, MAHAKAMANI UKIJIFANYA KUJIBU KILA SWALI AU UKALETA UJUZI MWINGI JUA UNAPIGWA CHINI FASTA. SHAHIDI AMEJITAIDI SANA KUJIBU YALE YANAYOMHUSU TU. ANGEJIBU KAMA WENGI WANAVYOTAKA HUMU ASINGETOBOA.
Punguza jazba na utulie dawa ikuingieNi mswali ya kipuuz tu ambayo kwa mtu makini humkamati hata chembe na hakimu kuto kutaa ni kawaida tulishazoea na ndio tulivyofundishwa hvyo karibu mawakili wote mtindo ni ule ule
Kawaida sanaPunguza jazba na utulie dawa ikuingie
Hajui chochote???Ameenda kujidhalilisha bure hajui chochote
Ndio maana unakuta kesi nyingi zinachelewa sana kuna maswali mengine ni upotezaji wa muda tu na hayapo technical kabisa