kibol
JF-Expert Member
- Apr 24, 2012
- 4,512
- 2,730
Kwa matamshi hayo,basi hii awamu ni awamu ya "magaidi"
mkuu Salary Slip hakuna wakati serikali ya Tz imewahi kuwa dhaifu kama awamu wa nne,hakuna mtu anaejihisi yu salama chini ya vyombo hivi vya ulinzi na usalama.
Last edited by a moderator: