Highlander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 3,093
- 1,075
Sio wote waliorudi, nasikia kuna Wakenya zaidi ya 500 000 wanaishi nchini kwetu, hivyo wengine wamebaki wengi tu, ndio maana uhalifu hauishi!
......
Ila kweli ee?. Hivi!.....na wale wakenya walioibaga hela za benki mchana kweupe pale benki ya nbc Ubungo walipelekwaga wapi?