sielewi hizi sympathy za kibanda zinatoka wapi? off course mtu kuteswa siyo kitu kizuri, lakini was this guy a vanguard of good journalism in Tz? NO. no. this is a biased, subjective journalist, who is there for sectional interests of the few (angalia jinsi alivyokua anawashambulia kambi ya Mwakyembe, sitta na kutetea kila kitu cha RA na EL). I dont say he deserved to be tortured, but our sympathy should be measured in relation to truly what Kibanda stand for, what he has done, and who Kibanda is.
kama hatuwezi kua hivyo basi sisi ni taifa la wanafiki, tukiongozwa na viongozi wanafiki wakiwemo hao akina Kibanda na wenzake.
kama hatuwezi kua hivyo basi sisi ni taifa la wanafiki, tukiongozwa na viongozi wanafiki wakiwemo hao akina Kibanda na wenzake.