Kibanda aliteswa na majasusi!

Mtu yeyote anaeshabikia uovu nae ni mwovu. na adhabu yake ni hapahapa duniani
Ni frustration hasa baada
ya mambo haya kutokea na kujirudiarudia bila hatua za kuonekana
kuchukuliwa. Nafikiri Mtanzania hawakuandika hivi ilipotokea kwa Yule
kiongozi wa madaktari - Ulimboka alipotekwa na kuteswa, lakini sasa
wameguswa na frustration zao zinaeleweka. Hii haina tofauti na Serkali
au Polisi inapoahidi kuchunguza na kuwakamata wahusika lakini haifanyi
hivyo, matokeo yake watu wanajenga dhana kuwa nao ni washiriki wa maovu
hayo.
 
Sarakasi ya mtoto wa mfalme!!! Haki ya nani kila kitu kina mwanzo na mwisho wake!! Hata libya Gaddafi alianza na alimaliza!! Je alimalizaje? Tuwe na busara na kuwafundisha wanafamilia namna ya ku-behave!!! Ni aibu sana!!
 
Kwa hakika hii imekaa vizuri, polisi wafanye kazi yao pasipokujali majina ya watu na position walizonazo katika jamii ili haki itendeke.
 
Poolleni sana watanzania wenzangu mnaodhani hii ni nchi yenu wakati ridhiwani anaamini kuwa sisi ni wapangaji kwenye shamba la baba yake lenye security guard wanaoitwa polisi...
 
Kati ya watu watakaoleta machafuko wakiachiwa ni pamoja na Ridhiwan,huyu jamaa analelewa sana sijui sheria zinasema nini! Ridhiwan amekera watu wengi sana kwa kauli yake hiyo ambayo naweza kusema ni ya kishenzi kwa sababu tu ya ulevi wa madaraka ya baba yake! Achunguzwe huyu!
 
Kweli haijawa na makala hatarishi kwa serikali ila inapigia debe kundi lingine!! Mungu akituacha hai utaona vumbi la 2015 kama itapigia debe serikali basi ni serikali ya mtandao upi???? Bashe na Kibanda wamekuwa Habari Corporation kwa kazi moja kubw 2015!!! Watakuwa wanachuana na Habari Leo, Daily News, Uhuru na Mzalendo (kama lipo) na yale mengine yatakayokuwa yanajitokeza tu wakati wa uchaguzi!!! Siasa ni media!!! Itakuweka juu au itakuangusha chini!!! Kwa taarifa yako ndoa ya New Habari Corporation na serikali ilikufa na mwenye kampuni alisema wazi hataki siasa za majia taka tena!! He is not longer interested na Tanzania yenu!! ana tenda kubwa sana ya kujenga oil pipe line from Juba to one of East Africa Countries!!! Wewe subiri 2015 uone sulubisho la serikali ya awamu ya nne na mtu atakayekuwa swahiba wa huyu aliye madarakani!!

Ni Eddo nn?
 
No suala hapa lazima liwe clear. Huyo RZ1 anao uhuru wa kusema kama ambavyo nyie pia mnasema.mbona hamkutaka wote waliojifanya wanajua ikulu ilivyomtesa ulimboka wakaisaidie polisi kiushahidi? Jambo sikubaliani na unyama aliofanyiwa kibanda lakin pia sitaki uhuru wa maoni udhibitiwe,watu waachwe waseme kama walivyosema ktk matukio mengi mengi yaliyopita.
 
Ni frustration hasa baada ya mambo haya kutokea na kujirudiarudia bila hatua za kuonekana kuchukuliwa. Nafikiri Mtanzania hawakuandika hivi ilipotokea kwa Yule kiongozi wa madaktari - Ulimboka alipotekwa na kuteswa, lakini sasa wameguswa na frustration zao zinaeleweka. Hii haina tofauti na Serkali au Polisi inapoahidi kuchunguza na kuwakamata wahusika lakini haifanyi hivyo, matokeo yake watu wanajenga dhana kuwa nao ni washiriki wa maovu hayo.
thanks.
 
ni kituko kama huyo mwandishi yuko very low kiasi hicho na hata huyo mhariri wa gazeti hilo. utarelay vipi kwenye mitandao ya kijamii? hafikirii hata yeye anaweza akasign up kama Ridhiwani Kikwete na kuupload na picha yake kabisa kuonyesha msisitizo na kutuma comment yoyote anayoitaka? kweli tunawandishi njaa na sio waandishi wa habari. du, pole.
ndo maana siku hizi sinunuagi magazeti. upuuzi mtupu.

Kwa nini usimwache Ridhwan ajitetee mwenyewe au wewe ndiye huyo Ridhwani?
Vitendo vya wanafamilia ya Kikwete vinaashiria hitaji la kutafakari upya 'privileges' wanazopewa wanafamilia wa zitakazokuwa familia za marais wajao.
Kuna matumizi ya ovyo ya watu, vifaa na mali za walipa kodi wa nchi kuwagharimia watu wasiostahili kama Mke wa Kikwete na watoto wake kana kwamba nao walichagiliwa kwa kura !
Usalama wa Taifa umechakachuliwa na sasa kuonekana kama wafanyakazi wa familia hiyo, jambo geni kabisa katika utamaduni wa nchi hii.
Kuna minong'ono kibao juu ya kuzitumia nafasi zao za kuwepo ikulu kukosa kujitajirisha na kujikusanyia mali. Na sasa wakiwa wamelewa madaraka yao haramu wanatoa maagizo na matamko ya kuwaudhi na kuwakejeli watanzania!
Hivi Raisi wetu ni dhaifu kiasi cha kushindwa hata kuwakemea watu wa karibu yake namna ile?
 
Ina maana hili gazeti mpaka dakika hii halijafungiwa na Serikali kwa kuandika habari za uchochezi?

Sioni tofauti iliyolifungia Mwanahalisi na makala hii.
 
Kweli haijawa na makala hatarishi kwa serikali ila inapigia debe kundi lingine!! Mungu akituacha hai utaona vumbi la 2015 kama itapigia debe serikali basi ni serikali ya mtandao upi???? Bashe na Kibanda wamekuwa Habari Corporation kwa kazi moja kubw 2015!!! Watakuwa wanachuana na Habari Leo, Daily News, Uhuru na Mzalendo (kama lipo) na yale mengine yatakayokuwa yanajitokeza tu wakati wa uchaguzi!!! Siasa ni media!!! Kwa taarifa yako ndoa ya New Habari Corporation na serikali ilikufa na mwenye kampuni alisema wazi hataki siasa za majia taka tena!! He is not longer interested na Tanzania yenu!! ana tenda kubwa sana ya kujenga oil pipe line from Juba to one of East Africa Countries!!! Wewe subiri 2015 uone sulubisho la serikali ya awamu ya nne na mtu atakayekuwa swahiba wa huyu aliye madarakani!!

Una uhahkika na unayoyasema?
Na ile kampuni yake ya Caspian inayofanyafanya kazi kwenye migodi ya dhahabu kanda ya ziwa nayo iko Juba?

Kujitoa kwenye siasa za majukwaa haina maana kwamba ndo amejitoa siasa za Tanganyika, bado anahitaji sana kuendelea kudhibiti madaraka ya serikali ili kulinda mirija yake aliyowekeza Tanganyika.
 
Acha kuota wewe, wapi umemsikia mwenyekiti wa madaktari akileta usumbufu baada ya kufanywa vibaya kule mabwepande? Zaidi zaidi Kibanda atakuwa na adabu ili hilo jicho lililobaki liendelee kuwepo..!

Mpuuuuuuuuuuuuuuuuuz
 
Nimeishiwa maneno inatosha tu niseme nimesikitika na inasikitisha sana mambo haya kuendelea hapa nchini mwetu. Nimekuwa nikijiuliza hivi kweli wahalifu wamekuwa na nguvu kiasi hiki kuliko vyombo vya dola?
 
No suala hapa lazima liwe clear. Huyo RZ1 anao uhuru wa kusema kama ambavyo nyie pia mnasema.mbona hamkutaka wote waliojifanya wanajua ikulu ilivyomtesa ulimboka wakaisaidie polisi kiushahidi? Jambo sikubaliani na unyama aliofanyiwa kibanda lakin pia sitaki uhuru wa maoni udhibitiwe,watu waachwe waseme kama walivyosema ktk matukio mengi mengi yaliyopita.
Hatukatai uhuru wa kusema ila ni uharaka wa RZ1 kutoa maoni yake hayo ukizingatia kwamba ule ushahidi uliotolewa na mwanaHalisi kuhusu ikulu kuhusika na mateso ya Ulimboka bado hayapata majibu. Mpaka leo vyombo vya dola havijatuambia Ramadhan Ighondu ni nani. Kwa muktadha huu nin rahisi mtu kuhisi RZ1 anataka kucover something.
 
its true kabisa mateso ya kibanda yamefanywa professionally

Sasa ktk hili haihitajiki uwe na elimu ya chuo kikuu au elimu/utaalamu wa kijasusi kugundua kwamba hii ni professional work

halafu eti kamanda wa kanda maalum ya dar es salaam afande mkuu, mheshimiwa sana KOVA anakuja na single ya kwamba huu ni uhalifu tu, tena anaunda na tume wakati majibu amesha-prempt

Je, wadau si wana haki ya kuhoji weledi (professionalism) ya kamanda wetu? Yeye kwa level yake ikitokea kama hili haraka haraka anatakiwa kutuambia kwa uwazi kabisa kwamba mateso haya yamefanywa professionally kwa malengo wanayoyajua wao wenyewe.

Ndio maana kwa kweli hatuna imani na jeshi letu la polisi
 
Hii ni Serikali dhalimu Mkuu Zogwale haina tofauti yoyote na ile Serikali ya Makaburu iliyokuwepo kule RSA.

Kweli nchi inajifanya kuwa iko mstari wa mbele kwa demokrasia kumbe ni kandamizi na udikteta tu!! Kwa nini tubake demokrasia? Waandishi wa habari wakiwemo editors ambao walitokea huko huko kwenye uandishi wa habari wanasaidia sana kuelimisha jamii, kuibua maovu ili mtu au nchi ijirekebishe, kutoa burudani, n.k. Sasa pale ambapo mtu anakosolewa tena kwa ushahidi badi hataki ila anachotaka ni kubaka demokrasia kwa ama kuua, kutesa au kutishia maisha ya mwandishi. Shujaa Kibanda, hata kama utabaki na jicho moja lakini bado utaandika na kuhariri habari!! You are a hero na historia itabaki kuwa historia. Pole sana mkuu Kibanda.
 
Last edited by a moderator:
Ramadhan Ighondu ndiye mteseji wa Dr Ulimboka lakini hajahohiwa hadi leo. Nina wasiwasi kama Ridhiwani anaweza kukuguswa! Serikali corrupt hutesa na kuuwa watu hovyo!
Hatukatai uhuru wa kusema ila ni uharaka wa RZ1 kutoa maoni yake hayo ukizingatia kwamba ule ushahidi uliotolewa na mwanaHalisi kuhusu ikulu kuhusika na mateso ya Ulimboka bado hayapata majibu. Mpaka leo vyombo vya dola havijatuambia Ramadhan Ighondu ni nani. Kwa muktadha huu nin rahisi mtu kuhisi RZ1 anataka kucover something.
 
Back
Top Bottom