Zogwale
JF-Expert Member
- Jul 10, 2008
- 15,295
- 10,957
Mtanzania wanajaribu kuungaunga stori...ukweli utabaki pale pale kuwa kibanda ameteswa na mwajiri wake wa zamani
Yaani kweli mtanzania ambalo ni gazeti la Kibanda liunganishe stori? Linasema ukweli!!!! Na ukweli ndiyo huo!! Kama kweli ingekuwa ni mwajiri wa zamani Mtanzania ni lazima lingeandika sana!!! Mtanzania ndilo la kuamini sana katika hii issue!! Habari ndiyo hiyo!! Kwani CDM wana uwezo wa kukomand intelligence ifanye kazi hiyo? Intelligence kwa kawaida inatumikia serikali iliyo madarakani kama ilivyo nchi zote duniani!! Leo hii intelligence ya Amerika iko kwa Domocrats, wakati Rais akiwa Republican nayo itaitumikia Republican!!