Kibanda ajitoa kamati ya Nchimbi...

Kibanda ajitoa kamati ya Nchimbi...

Lets be GT's!
Hivi, we as Tanzanians, do we real need to be identified by our dresses? What is the necessity of National dress to us (hasa kwa watz wa kawaida)? Do we real need it? Suppose we get it from the choosen commitee, can we afford it? Will it reflect us? Are going to be proud of it? Are we going to find it at every family? Au zitakuwa za wakubwa tu? Is it possible to have a common dress to all Tzns out of 120 tribes?

If answers for all these are no,and he didnt think about this, then Kibanda is very wrong. Thats my opinion..
 
Kibanda ana ndoto zake za mchana Dr Slaa, akiwa rais atakuwa msemaji wa Ikulu!
 
Hii CCM hii.Tumeletewa sherehe za miaka 50 ya uhuru zimechukua pesa rukuki za wavuja jasho.Leo tena wamebuni mradi mwingine wa vazi la taifa, litatusaidia nini hili vazi la taifa.Vazi la taifa kwa nchi masikin kama TANZANIA ni upumbavu mkubwa.Hawa CCM inabidi tuwa GADAFI haraka sana kabla hawajatuuza.
 
Uliza wewe wengine tukiuliza tunaambiwa maswali yetu si ya msingi!
Hivi akisema MKJJ ndipo maswali yanakuwa ya msingi, hata yeye ukimuuliza maoni yake juu ya uongozi wa Kikwete ni tofauti na ya 2005.
 
Hivi kibanda amejua serikali inanyanyasa waandishi baada ya yeye kunyanyaswa?



MM,
sina jibu la swali lako ila naamini kuwa there is no too late kwenye kuchukua maamuzi sahihi. Kibanda anaweza kuwa amechelewa kuchukua maamuzi kama alishaona mapema. Lakini hiyo haimzuii kuchukua maamuzi sasa!
 
Maswali mengine hayana msingi mambo huenda kwa wakati ukiwauliza wananchi kwa nini mwaka 2005 walimchagua Kikwete wengi watasema wangejua....sasa wamejua na Kibanda leo kajua simple.

asilimia 35 ndo mlompa kikwete na vile vile katangazwa na tume yake kuwa rais kama kabila zaire
 
Lets be GT's!
Hivi, we as Tanzanians, do we real need to be identified by our dresses? What is the necessity of National dress to us (hasa kwa watz wa kawaida)? Do we real need it? Suppose we get it from the choosen commitee, can we afford it? Will it reflect us? Are going to be proud of it? Are we going to find it at every family? Au zitakuwa za wakubwa tu? Is it possible to have a common dress to all Tzns out of 120 tribes?

If answers for all these are no,and he didnt think about this, then Kibanda is very wrong. Thats my opinion..
Haya ndiyo masuala ya msingi, investors wakija hawaangalii tumevaaje wanaangalia potential ya nchi kwenye grobal market, haya mambo ya kuonyeshana vichupi wangemwachia Lundenga.
 
Inawezekana Kibanda alikuwa bado anashauriana na familia yake lakini uamuzi wake ni sahihi kabisa.
 
Hivi kibanda amejua serikali inanyanyasa waandishi baada ya yeye kunyanyaswa?

Nadhani Kibanda aligundua mapema hili zoezi la mavazi ni la kipuuzi lakini kwa sababu anazozijua akashindwa kumkatalia Nchimbi. Haya manyanyaso naweza kusema ni zawada toka kwa father x'mas maana yamempa yeye Kibanda fursa ya kujitoa kwenye hili tope la Nchimbi. Vyovyote vile, heri nusu shari kuliko shari kamili.

Wanasiasa wa Tanzania wanakataza wananchi wa kawaida lukadili katiba mpya bila wao au mwakilishi wao (i.e wakuu wa mikoa) kuwepo, na sasa wanasiasa hawa hawa wanakataka kutumbua tuvae nini!

Nchimbi angefanya jambo la maana kama angesimamia zoezi la kuondoa sheria kandamizi kuhusu media.
 
Heshima mbele sana mkuu,

Kwenye hiyo kamati wanahabari wamejazana.

Mwenyekiti wa kamati ni Joseph, mmiliki wa vituo vya radio, tv na magazeti.....mkuu ana maana yake hapa.

Joseph yupi?wa THT na Mr II?
 
Nadhani Kibanda aligundua mapema hili zoezi la mavazi ni la kipuuzi lakini kwa sababu anazozijua akashindwa kumkatalia Nchimbi. Haya manyanyaso naweza kusema ni zawada toka kwa father x'mas maana yamempa yeye Kibanda fursa ya kujitoa kwenye hili tope la Nchimbi. Vyovyote vile, heri nusu shari kuliko shari kamili.

Wanasiasa wa Tanzania wanakataza wananchi wa kawaida lukadili katiba mpya bila wao au mwakilishi wao (i.e wakuu wa mikoa) kuwepo, na sasa wanasiasa hawa hawa wanakataka kutumbua tuvae nini!

Nchimbi angefanya jambo la maana kama angesimamia zoezi la kuondoa sheria kandamizi kuhusu media.
Mimi naungana na Kibanda it is nonsense sasa kuanza kujadili mwananchi avaeje wakati hajui mlo wake wakesho achilia mbali hiyo hela ya kununua hilo vazi la sherehe, labda waniambie hilo nalo limo kwenye mchakato wa katiba. Mimi ni mmasai bwana haya mambo yakulazimisha suti siyawezi huwa natinga ulaya na lubega na wazungu wana admire vile vile.
 
Labda kuna kitu alitaka wanegotiate na serikali kupitia huu uteuzi na sasa kimeshindikana!!

Wantanzania tumezidi kuishi kwa matumaini. Tunakuwa na maisha ya mission town au vijana wa vijiweni...Hatutaki kusumbua akili badala yake tunasubiri tu rehema zitumwagikie!!
 
Hivi huo unyanyaswaji wa waandishi wa habari na serikali umeanza yeye Kibanda alipokamatwa au upo muda mrefu?

Manake kama upo muda mrefu na yeye alipoteuliwa kuwa mmoja wa wanakamati kwa nini hakukataa kwa kutumia sababu hiyo hiyo aliyoitoa sasa?

Muongo tu hana lolote anatapa tapa tu baada ya watu kumshtukia kufanya kazi za ccm kupitia lowassa!
 
Back
Top Bottom