Kiraka Kikuu
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 5,904
- 1,976
Na haya nayo ni maamuzi magumu?
Mimi naungana na Kibanda it is nonsense sasa kuanza kujadili mwananchi avaeje wakati hajui mlo wake wakesho achilia mbali hiyo hela ya kununua hilo vazi la sherehe, labda waniambie hilo nalo limo kwenye mchakato wa katiba. Mimi ni mmasai bwana haya mambo yakulazimisha suti siyawezi huwa natinga ulaya na lubega na wazungu wana admire vile vile.
. Si ni bora unyamaze!Hivi huo unyanyaswaji wa waandishi wa habari na serikali umeanza yeye Kibanda alipokamatwa au upo muda mrefu?
Manake kama upo muda mrefu na yeye alipoteuliwa kuwa mmoja wa wanakamati kwa nini hakukataa kwa kutumia sababu hiyo hiyo aliyoitoa sasa?
Maswali mengine hayana msingi mambo huenda kwa wakati ukiwauliza wananchi kwa nini mwaka 2005 walimchagua Kikwete wengi watasema wangejua....sasa wamejua na Kibanda leo kajua simple.
Kibanda ana ndoto zake za mchana Dr Slaa, akiwa rais atakuwa msemaji wa Ikulu!
Heshima mbele sana mkuu,
Kwenye hiyo kamati wanahabari wamejazana.
Mwenyekiti wa kamati ni Joseph, mmiliki wa vituo vya radio, tv na magazeti.....mkuu ana maana yake hapa.
Stop being a coward.
Miafrika ndivyo tulivyo.acheni utoto si lazima mkubaliane in every thing..
Watanzania wanazidi kuelimika wale wa 2005 walimchangua kwa 80%, walipogundua wamekosea wale welevu? hawakurudia kosa ndio maana 2010 akapata 60%, you know less by 20% kwa serikali hizi zenye kila kitu hadi tume za uchaguzi is not a joke, sielewi kama angegombea mara ya tatu angepata ngapi labda 20%. Kuhusu Kibanda wengi wana hoji kwa nini sasa? lets leave the decision to his discretion, labda ameona huu ndio wakati mwafaka kwake afterall hii si mara yake ya kwanza kusema serikali inanyanyasa vyombo vya habari.Na ukiwauliza watz hao hao kwanini walirudia tena kumchagua jakaya 2010 watasemaje?maana urais alionao sasa hakuchaguliwa 2005! twende mbele turudi nyuma kibanda kwenye hili ana mambo yake binafsi na anajua mwenyewe kwanini anafanya hivi na kwa maslahi ya nani.....mbona hatukumuona akichukua maamuzi magumu kama haya wakati wa sakata la mpiganaji mpoki bukuku na askari magereza kwa kushirikiana na mh.mapuri au sakata la mwanahalisi kufungiwa na kubenea kumwagiwa tindikali au kwenye sakata la gazeti la kulikoni kufungiwa?hii ya yeye kuhojiwa na polisi juzi ndio unyanyasaji mbaya zaidi wa wanahabari kupata kutokea nchini?sipendi watu wanafiki.
I don't think kama tulikuwa na official national dress.Hivi siku za nyuma sana si ilikuwepo "National Dress"? Wanaume ilikuwa inafanana na Kaunda Suit na wanawake ilikuwa vazi la vitenge na kilemba cha kitenge. Ni lini vazi hili lili expire?
...Muhariri wa gazeti la Tazania Daima amejitoa kwenye kamati ya kutafuta vazi la taifa iliyokuwa imechaguliwa na waziri Imanuel Nchimbi...sababu alizotoa ni kuonyesha kutokubaliana na serikali dhidi ya unyanyasaji wa waandishi wa habari akiwamo yeye.
Source:Channel Ten
======
Update
======
nchi hii bana inaongozwa na viongozi mambumbumbu sana..sasa kachochea kitu gani huyo kibanda?? huyu mwema bana na jeshi lake nd maana liko kama zezeta hivi