Kibamia kimekuwa kero wadau

Jaman eeeh! Naombeni msaada kama kuna mtu anaweza kunitibu au kuna namna naweza tumia kuifanya mashine iwe kubwa

Nimekuwa nikikosa radha ya mapenzi kwa kuwa na kibamia yaani nikiwazamisha inakuwa kama nimeweka kidole cha mwisho vile

Huenda kutokana na udogo wa mashine ndio maana natumia mda mfupi sana kumaliza kiufupi huwa simalizi hata dakika imenifanya nmeshindwa kuwa na mahusiano ya kudumu kwa hawa wadada wa mtaani

Nimekuwa nikinunua malaya ila bado naona napoteza hela bure

Nisaidieni jamani kama kuna namna naweza kuongeza
Embu picha tukione kwanza😅😅😅😛kwanza kabisa inaonesha hujiamini na maumbile alokujaalia Mwenyezi jiamin kua unakiezea Kuna watu wanavibamia Ila wanajua kuvitumia sababu wanajiamini ,,Sasa ili ukifaidi kibamia chako inapaswa Mwanamke awe juu sio wewe uwe juu, zingine tumia akili yako ni namna gan ukimkunja mwenz wako utakipatia kibamia chako,sidhan kaa Kuna dawa zaidi ya akili yako kuichun kua unaeza nahkohko ulichojaaliwa
 
Jaman eeeh! Naombeni msaada kama kuna mtu anaweza kunitibu au kuna namna naweza tumia kuifanya mashine iwe kubwa

Nimekuwa nikikosa radha ya mapenzi kwa kuwa na kibamia yaani nikiwazamisha inakuwa kama nimeweka kidole cha mwisho vile

Huenda kutokana na udogo wa mashine ndio maana natumia mda mfupi sana kumaliza kiufupi huwa simalizi hata dakika imenifanya nmeshindwa kuwa na mahusiano ya kudumu kwa hawa wadada wa mtaani

Nimekuwa nikinunua malaya ila bado naona napoteza hela bure

Nisaidieni jamani kama kuna namna naweza kuongeza
Kapicha katapendezaa😎😎
 
Jaman eeeh! Naombeni msaada kama kuna mtu anaweza kunitibu au kuna namna naweza tumia kuifanya mashine iwe kubwa

Nimekuwa nikikosa radha ya mapenzi kwa kuwa na kibamia yaani nikiwazamisha inakuwa kama nimeweka kidole cha mwisho vile

Huenda kutokana na udogo wa mashine ndio maana natumia mda mfupi sana kumaliza kiufupi huwa simalizi hata dakika imenifanya nmeshindwa kuwa na mahusiano ya kudumu kwa hawa wadada wa mtaani

Nimekuwa nikinunua malaya ila bado naona napoteza hela bure

Nisaidieni jamani kama kuna namna naweza kuongeza
Jifunze kunyonya ngenya kwa muda mrefu na kumkojolesha mwanamke
 
Tunaopenda vibamia tupo usikose Raha kiasi hicho, jiamini utampata wa kukupenda tatizo huwa hamuamini km mnaweza kupendeka, ila elewa tu tupo tunaovipenda tena mnoo
 
Shida sio kumlizisha mwanamke shida ni mimi sifurahii tendo nakuwa kama ninat0mba kwenye ndoo ya maji

Pesa ninayo inatosha kukufanya hata wewe umuache huyo ulienae mda huuu
Unakutana na wadada wenye nyuchi kubwa na zilizotumika sana
 
Naona watu mnaleta kejeli na post yangu kwamba nijiamini sio? Yaani kama nipo vitani naona kabisa adui yupo na AK 47 na harafu mimi nina fimbo bado nijiamini

Kina namna inayomfanya mtu ajiamini jamani mimi tatizo langu ni kubwa sana, narudia tena ni kubwaaaaa

Nakutana na dhihaka sana mtaani, yaani nikishafanya na mtoto wa kike leo nikija kumuambia turudie tendo nakuwa napigwa chenga

Hapa bila kumuuitia pesa haji na akija akili yake inaonesha kqbosa ipo kwenye pesa tu

Kuna mmoja huyo yeye kila akija anakuwa kavaa pedi yaani kila akija anadai Simba wanacheza anataka pesa tu apite hiviiii

Hapa kujiamini kunatoka wapi? Kuna kipindi ndio naanza biashara na biashara ndio imeanza kukubari nilikuwa na kismat sana na watoto wa kike (nadhani sababu ya pesa) niliwangonga wengi sana ila kati ya hao wengi sikuwahi kupata mwenye sizi ndogo

Sasa hapa naona mmekomaa nitafute wa saizi yangu au mnadhani mimi ni mgeni kwenye haya mambo?

Kikubwa hapa nataka dawa ya kurefusha na sio vinginevyo, harafu mbaya zaidi nina kauume kadogo harafi ni kembamba pia

Nikiwa kwenye tendo naona kabisa jinsi navyowaboa hawa viumbe

NAHITAJI MSAADA JAMANI NA SIO VINGINEVYO HIZO SAIKOLOJIA ZENU NIMESISIKIA SANA NA HAZIJAWAHI KUNISAIDIA LOLOTE
Yani umejikatia tamaa ila nachoona tatizo sio size ni nguvu za kiume hiyo kukaa dakika 5 ndo tatizo lilipo ila nakuhakikishia wapenda vibamia tupo wengi tu
 
Nilikutana na mwenye inchi 3.5 ikiwa imesimama na nilimfurahia mno kuliko mwanaume yeyote ila nilipokuwa nikimwambia hakuwa ananiamini alihisi namuigizia, nikajitahidi kww Kila namna kuonyesha kumfurahia na ilikuwa kweli kabisa sikuwa nampa moyo tu, ila jamaa hakuniamini, ikabidi nijikatae tu kaja kashtuka kuww nilimaamisha nilichokuwa nikimwambia ikiwa too late, tatizo Ni kujiamini, hakujiamini
 
Bwana mdogo hicho kibamia chako ndicho ulichoumbwa nacho. Binadamu hatufanani kwa vitu vingi ; warefu, wanene, wafupi ,wembamba, weusi, weupe, wa njano, wekundu, magenius, wenye akili nyingi ,akili za kati, akili ndogo , machizi, vichaa, wagomvi, wapole , wenye hela ndefu, hela chache , makapuku, nk nk.

Unataka uwe the best wa kila kitu?
Au je hilo la uume mkubwa ndili hitajio lako namba moja?

Shukuru kwa ulicho nacho, kitumie na ufurahie maisha. Kuna watu walikuwa na izo makitu kubwa wakaishia kukatwa na wapenzi wao au kwenye fumanizi na sasa hawana kitu, wengine wanazo kubwa lakini ni mashoga.

Jiamini , hizo sekunde tano zinatosha sana kwani kuna ambao jogoo amelala forever. Wewe unasimamisha na unafanya kabisa(unaingiza mle kwenye mambo) shukuru sana . Endelea kuzikula hizo kitu wala usijilaumu na kusononeka. Huyo asiyeridhika ndiye asononeke. Akikutema huyu ,tafuta yule. Ila kuna kuna mtu amekushauri utafute hela - ukiwa na hela hao wanaokukimbia watakutafuta wenyewe na pia watatafuta wenyewe namna ya wao kuenjoy kibamia chako huku wewe unaendelea na sekunde tano zako unatoa wazungu.

Enjoy maisha dogo ,acha kuwaza vitu visivyo vya msingi.
 
Mafuta ya baby care, dawa ya meno asa alovera, ukichanganya na limao kila siku ukajipaka hapo kila siku..KIBAMIA BYE BYE

Lakini kabla ya kujipaka hakikisha umeoga maji moto, maji mengi jimwagie kwenye icho kiba100 alaf ndo uje kwny shughuli hiyo. Utanishukuru baadae
 
Mafuta ya baby care, dawa ya meno asa alovera, ukichanganya na limao kila siku ukajipaka hapo kila siku..KIBAMIA BYE BYE

Lakini kabla ya kujipaka hakikisha umeoga maji moto, maji mengi jimwagie kwenye icho kiba100 alaf ndo uje kwny shughuli hiyo. Utanishukuru baadae
 
Hakikisha huko uendako unaenda na KIWEMBE kipya ambacho hakijawahi kutumika.

Nenda Porini kisha tafuta sehemu yenye Madodoki, tafuta Dodoki dogo linaloanza kukua.

Cha kufanya: Ukishaliona Dodoki dogo linaloanza kukua, vua nguo zako zote. Toa KIWEMBE chako, chanja Dodoki na uchanje UUME wako kidogo, Damu ikianza kutoka chukua Utomvu wa Dodoki na kidole chako kisha jipakaze kwenye UUME wako, Damu ikishakata vaa nguo zako kisha ondoka.

Muhimu: Hakikisha unaliwekea alama Dodoki ulilolichanja, kwasababu kila Dodoki linavyokua na UUME wako nao unakua. Utakaporidhika na Saizi ya UUME unayoitaka wewe, rudi Porini kalikate lile Dodoki haraka iwezekanavyo kwasababu ukiliacha na UUME wako nao utazidi kuongezeka/kukua kila lile Dodoki linavyokua.

Onyo: Omba Ushauri (kuhusiana na Dodoki) kwa watu wako wa karibu kabla ya kuingia Msituni
 
Back
Top Bottom