hamna lolote nyie mnajuana mnaamua kubebana!
we ungekuwa china halafu kibaka atokee halafu uanze kumkimbiza,akajichanganya tu na wenzake sijui utamgunduaje
Halafu na wachina wenyewe wakiwa kwao wanaambiana watu weusi wote wanafanana lakini wakija wakijichanganya wanatutofautisha so km ngingekuwa China then nikatokewa na kibaka ningemjua tu whats so ever.
Utoto tulikuwa tunaambiana mkicheza mechi na Wachina wakiende mapumziko wakirudi kipindi cha pili wacheza wote wamebalisha halafu hamjui.