Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,426
- 18,228
Mchina alipigwa mtama na kibaka na kuporwa simu,mchina akaanza kumfukuzia kibaka wake,kibaka alipoona haichwi akaweka simu chini halafu akaendelea na mbio,mchina akachukua simu yake na kuendelea kumfukuzia kibaka,kibaka alipoona hali ngumu akamwambia mchina,simu yako nimekupa nini tena unataka!
mchina akamwambia bado sijakupiga MTAMA.
mchina akamwambia bado sijakupiga MTAMA.