Fintan20
JF-Expert Member
- Dec 17, 2023
- 219
- 539
Wanajamvi kwema.
Nilikuwa namsikiliza chino wana man 😂.
Kitu ambacho kilimkata sana kipindi anajitafuta mpaka akalia.
Anasema miaka hiyo kulikuwa sherehe, sasa mesen selekta akampgia simu akamuambia mdogo wangu chino njoo uwafundishe madancer(wachezaji).
Chino akamwambia basi poa bro mimi nakuja, chino akafunga safari mpaka kwa mesen selekta akaanza kuwafundisha wale madancer.
siku zimesonga rich mavoko akampgia simu akamuambia mdogo wangu chino tuna show Nairobi mombasa jiandae tuondoke, chino akaitia poa.
Ikabidi amwambie bro mesen selekta kwamba mimi naondoka Nina show mesen akasema daah mdogo wangu sasa unatuachaje wewe ndo kiongozi hapa hakuna wa kuwasimamia hawa. Mesen ikabidi ambembeleze sana chino Baki mdogo wangu.
Sasa kipindi hicho chino ndo katoka kupata mtoto wake wa kwanza bado mdogo akamwambia bro siunajua lakini kule kazi hapa nasaidia tu akasema Baki mdogo wangu. Kiroho safi chino akabaki. Ikabidi ampgie mavoko kwamba bro nitashindwa sababu ya mtoto kuna masuala yananibana mavoko ikabidi akubali.
Basi ile sherehe ya mesen ilivyokaribia chino akasema ngoja nicheze vzuri najua nitatumzwa tu, basi chino alikuwepo pamoja na pam D na madancer wengine.
Basi ile siku shuguli chino kwanza kuingia pale ule muda wa madancer akaua sana watu wakampa pesa ikafika elfu50, ile pesa Pam D akaichukua akampa chino yote akasema katusaidia sana na kipindi anakuja tulikuwa atumlipi.
Basi sherehe imeendelea ikafika muda wa madancer kutoa show tena, chino alicheza pamoja na mesen sasa kipindi wanaendelea kucheza pesa nyingi sana walikuwa wanatunzwa zingine anapewa lakini hawezi simama kucheza kwahyo anaziacha tu pale chini wakatunzwa pesa nyingi sana mpaka sherehe inaisha.
Basi baada ya sherehe kuisha pesa ikakusanywa mesen akachukua ile pesa akaondoka na chino akupokea hata shilingi na kujitolea kote na show aliacha.
Ikabidi aende kwa bimkubwa wake mesen selekta amuelezee bimkubwa naye akamtolea nje kama hamjui
Chino anasema ile siku nililia sana.
Binafsi nishapitia hizi.
Embu share kisa chako ambacho ambacho ulikuwa dissapointed
Nilikuwa namsikiliza chino wana man 😂.
Kitu ambacho kilimkata sana kipindi anajitafuta mpaka akalia.
Anasema miaka hiyo kulikuwa sherehe, sasa mesen selekta akampgia simu akamuambia mdogo wangu chino njoo uwafundishe madancer(wachezaji).
Chino akamwambia basi poa bro mimi nakuja, chino akafunga safari mpaka kwa mesen selekta akaanza kuwafundisha wale madancer.
siku zimesonga rich mavoko akampgia simu akamuambia mdogo wangu chino tuna show Nairobi mombasa jiandae tuondoke, chino akaitia poa.
Ikabidi amwambie bro mesen selekta kwamba mimi naondoka Nina show mesen akasema daah mdogo wangu sasa unatuachaje wewe ndo kiongozi hapa hakuna wa kuwasimamia hawa. Mesen ikabidi ambembeleze sana chino Baki mdogo wangu.
Sasa kipindi hicho chino ndo katoka kupata mtoto wake wa kwanza bado mdogo akamwambia bro siunajua lakini kule kazi hapa nasaidia tu akasema Baki mdogo wangu. Kiroho safi chino akabaki. Ikabidi ampgie mavoko kwamba bro nitashindwa sababu ya mtoto kuna masuala yananibana mavoko ikabidi akubali.
Basi ile sherehe ya mesen ilivyokaribia chino akasema ngoja nicheze vzuri najua nitatumzwa tu, basi chino alikuwepo pamoja na pam D na madancer wengine.
Basi ile siku shuguli chino kwanza kuingia pale ule muda wa madancer akaua sana watu wakampa pesa ikafika elfu50, ile pesa Pam D akaichukua akampa chino yote akasema katusaidia sana na kipindi anakuja tulikuwa atumlipi.
Basi sherehe imeendelea ikafika muda wa madancer kutoa show tena, chino alicheza pamoja na mesen sasa kipindi wanaendelea kucheza pesa nyingi sana walikuwa wanatunzwa zingine anapewa lakini hawezi simama kucheza kwahyo anaziacha tu pale chini wakatunzwa pesa nyingi sana mpaka sherehe inaisha.
Basi baada ya sherehe kuisha pesa ikakusanywa mesen akachukua ile pesa akaondoka na chino akupokea hata shilingi na kujitolea kote na show aliacha.
Ikabidi aende kwa bimkubwa wake mesen selekta amuelezee bimkubwa naye akamtolea nje kama hamjui
Chino anasema ile siku nililia sana.
Binafsi nishapitia hizi.
Embu share kisa chako ambacho ambacho ulikuwa dissapointed