Kibaka auliwa DIT akiiba

Kibaka auliwa DIT akiiba

Aisee hapo DIT kunakuaga na wezi wanaingiaga kuiba dah ni nouma then mnaweza mkashangaa ni uyo uyo mmoja anakuja anaiba anasepa nakumbuka miaka fulani alishawahi uliwa mwizi hapo hapo then wakaenda mtupa kule mnazi mmoja..alafu balaa lilikua miaka ya 2008 kuja nyuma ukiwa unarudi DIT usiku ukitokea fire mmmh aisee mateja wote wa kariakoo uwa wanakuja kutega hiyo njia. Msishangae kuna vibaka uwa wanaingia sana tu hapo DIT tangu enzi hizo
 
Ningewaona wa maana kama wangeanza na jamaa wa escrow watu wanakwapua hela na magunia ya rumbesa hamna chochote unachosikia kutoka kwa wasomi wa Tanzania. Mbaya zaidi unasikia vichefu chefu vinavyojiita wasomi vikiitisha vikao na kutetea ujambazi mkubwa kama huu.

Huyu kijana hawajamtendea haki kabisa kwa sababu haya yote yanasababishwa na hawa majambazi ya rumbesa kusababisha hali mbaya ya kiuchumi kama kama kwa huyu kijana. Si wahukumu ila Mungu mwenyewe ndiye mtoa hukumu.

Wafuateni basi na wa escrow tujue mna hasira.
 
wewe ni mtu muhimu sana utalisaidia jeshi la Polisi kutoa taarifa.

We nae ndo wale wale ungejua jinsi wanavoibiwa pc na vitu vingine usingesema






Ndani ya week zimezimeibiwacm na tablets zaidi ya kumi na moja
 
Aisee hapo DIT kunakuaga na wezi wanaingiaga kuiba dah ni nouma then mnaweza mkashangaa ni uyo uyo mmoja anakuja anaiba anasepa nakumbuka miaka fulani alishawahi uliwa mwizi hapo hapo then wakaenda mtupa kule mnazi mmoja..alafu balaa lilikua miaka ya 2008 kuja nyuma ukiwa unarudi DIT usiku ukitokea fire mmmh aisee mateja wote wa kariakoo uwa wanakuja kutega hiyo njia. Msishangae kuna vibaka uwa wanaingia sana tu hapo DIT tangu enzi hizo

Walio nje ya ngoma hawaelewi uhondo wake
 
Jumamosi chumba kimoja zimeibwa lap top 3 na juma tano lap top 1 na cm
 
We nae ndo wale wale ungejua jinsi wanavoibiwa pc na vitu vingine usingesema






Ndani ya week zimezimeibiwacm na tablets zaidi ya kumi na moja

kwa hiyo mmepewa kibali cha kutoa uhai wa mtu?

Ndiyo maana hapo awali nikatangulia kusema utalisaidia Jeshi la Polisi maana inaelekea mshatoa roho za watu wengi kwa sababu mnazozijua nyie wenyewe.
 
kwa hiyo mmepewa kibali cha kutoa uhai wa mtu?

Ndiyo maana hapo awali nikatangulia kusema utalisaidia Jeshi la Polisi maana inaelekea mshatoa roho za watu wengi kwa sababu mnazozijua nyie wenyewe.

Hata yako tunaitaka sana

Mainjinia hatulei wezi na vibaka nawe uje kuiba
 
Wananchi hawana imani na mahakama.... Ni Wakati wa mahakama kujiangalia tatizo nini.
 
Back
Top Bottom