lukubuzo Samsis
JF-Expert Member
- Nov 3, 2014
- 2,947
- 3,457
hao jamaa wapo weng,juz kuna jamaa kachezea kichapo hap bibo hostel mpk auxiliary wakaja kumuokoa
Jumamosi chumba kimoja zimeibwa lap top 3 na juma tano lap top 1 na cm
laptop kitu gani wewe.....acheni kuua watu kwa material things hizo roho ya mtu huiwezi kulinganisha na hizo laptop zenu...sasa kama wasomi mna behave hivyo wengine huku mtaani wasiosoma watakuwaje???
LETE USHAHIDI KWAMBA AMEIBA..!! Mbwa wewe..!!!!Wizi mbaya
Wapumbavu tu hao.., kwanza walete ushahidi hapa kwamba aliiba.., kwanza inaonekana huyo alikuwa anakung'uta dem wa huyu jamaa ndio ameamua kumuua kwa kisasi af anadai mwizi.., shenz kabisa!laptop kitu gani wewe.....acheni kuua watu kwa material things hizo roho ya mtu huiwezi kulinganisha na hizo laptop zenu...sasa kama wasomi mna behave hivyo wengine huku mtaani wasiosoma watakuwaje???
Dhibitisha kwamba aliiba.., either way hukumu ya kuiba ni kifungo jela.., ilipaswa mumfikishe mikononi mwa dola.., shenzi nyie..!!!Wewe hujielewi kweli imagine umeibiwa laptop ina project nzima na mda wa kukabidhi umefika unafanyaje kama sio kurudia mwaka
Labda alisingiziwa je..??! shenzi nyie.., adhabu ya kifo ni kwa ajili ya akina chengesha.., sio hao.., mbwa nyie..!!hao jamaa wapo weng,juz kuna jamaa kachezea kichapo hap bibo hostel mpk auxiliary wakaja kumuokoa
Nasema hivi..! waliomuua walaaniwe wote mpaka kizazi cha saba! shenzi kabisa.., leteni ushahidi kama aliiba..., na wewe mleta mada kama ulishiriki dora itakufikia..!! shenzi..!!Eti wasomi haaa helaaa zinakufanya wakuone msomii kwani ukienda unabandika cheti kifuaniii??huyoo wamemuuzia boom tuuu wala sio kibakaa..na inaoneshaa alivaaa pambaaa kaliii..mbonaa wamemvuaaa ?
Mbuzi mkubwa wewe..! au alikuibia demu wako??!!! mnabambikia watu wiz.., leteni ushaidi kwamba aliiba.., besides alitakiwe afikishwe mikononi mwa dora kuku nyie..! shenzi..!!!Vibaka kama hawa adhabu yao ni kifo tu,haiwezekan mtu umejinyima umepata laptop,ipad au hta simu mtu anakwapua!!kwanini asiende huko kwa waliobeba hela kwnye sandarus aje kwa mi maskin kama yeye!hii ndo dawa yao!!
Wewe hujielewi kweli imagine umeibiwa laptop ina project nzima na mda wa kukabidhi umefika unafanyaje kama sio kurudia mwaka
Mbuzi mkubwa wewe..! au alikuibia demu wako??!!! mnabambikia watu wiz.., leteni ushaidi kwamba aliiba.., besides alitakiwe afikishwe mikononi mwa dora kuku nyie..! shenzi..!!!
Msomi gani unashindwa kuweka backup?
Nasema hivi..! waliomuua walaaniwe wote mpaka kizazi cha saba! shenzi kabisa.., leteni ushahidi kama aliiba..., na wewe mleta mada kama ulishiriki dora itakufikia..!! shenzi..!!
So what
Kama naeka back up bado ukiniibia unanurudisha nyuma
Shem on u unatetea wezi
So what
Kama naeka back up bado ukiniibia unanurudisha nyuma
Shem on u unatetea wezi
Kijana inaonekana Na wewe umeshiriki Kumuua huyo kijana sasa tutafanya uchunguzi tukishirikiana na tcra tukukamate ili ulisaidie jeshi la polisi.
Msomi gani unashindwa kuweka backup?