Kibaka auliwa DIT akiiba

Kibaka auliwa DIT akiiba

Eti wasomi haaa helaaa zinakufanya wakuone msomii😂😂 kwani ukienda unabandika cheti kifuaniii??huyoo wamemuuzia boom tuuu wala sio kibakaa..na inaoneshaa alivaaa pambaaa kaliii..mbonaa wamemvuaaa ?
 
Ningewaona wa maana kama wangeanza na jamaa wa escrow watu wanakwapua hela na magunia ya rumbesa hamna chochote unachosikia kutoka kwa wasomi wa Tanzania. Mbaya zaidi unasikia vichefu chefu vinavyojiita wasomi vikiitisha vikao na kutetea ujambazi mkubwa kama huu.

Huyu kijana hawajamtendea haki kabisa kwa sababu haya yote yanasababishwa na hawa majambazi ya rumbesa kusababisha hali mbaya ya kiuchumi kama kama kwa huyu kijana. Si wahukumu ila Mungu mwenyewe ndiye mtoa hukumu.

Wafuateni basi na wa escrow tujue mna hasira.
Vibaka kama hawa adhabu yao ni kifo tu,haiwezekan mtu umejinyima umepata laptop,ipad au hta simu mtu anakwapua!!kwanini asiende huko kwa waliobeba hela kwnye sandarus aje kwa mi maskin kama yeye!hii ndo dawa yao!!
 
Uyu mgemuandika ata na wembe usoni "ACHA UWIZI" sio kumuua
 
Please, wale wasichana pale ni wasomi; itakuwaje mmojwao awe na boy friend wa kuja kumtembelea akiwa amevaa bukta (mhuni wa barabarani). In conclusion, aliyeuawaa ni kibaka kajichanganya plan, full stop.
Mama Mdogo MAPENZI ni kitu kingine kabisa, na ukifumaniwa huwezi tamka neno lolote unanywea
nani kakwambia wasomi wanawataka wasomi wenzao abao hawana siri mpaka wajitangaze na kupigana mipicha ili kuWin situationa
Mhini wa barabarani akipiga ni mara moja tu na harudi kwani woga unamshika kurudi maji marefu kwa hiyo wanajituma hasa chumvini na sarakasi
misho huyu ni kiumbe wamemchukulia nguo zake wamemuua na Exhibit hakuna hao ndugu zake na hata kwa Mola mtasemaje eti ni (mhuni wa barabarani)?
Alichoiba hakionekani na aliyemvua nguo ni nani?
Ni wivu wa Mapenzi Dada Uda
ushahidi hakuna ila ni MUNGU anajua
 
Last edited by a moderator:
Jumamosi chumba kimoja zimeibwa lap top 3 na juma tano lap top 1 na cm

Mkuu Babumapunda,kabla hajaanza kupigwa alikutwa na kitu alichoiba? Usikute kaenda kwa gelo friend wake wakatofautiana na demu wake akatumia furusa ya kumwita mwizi as her defensive mechanism ndo huyu anayedaiwa mwizi akaanza kupigwa?
 
Roho ya mtu ina thamani sana kuliko chochote...ni kosa kubwa sana kumuua mtu ambae hana silaha ya kuweza kuhatarisha maisha ya wengine hata kama ni mwizi,mpigeni kiasi na mpelekeni kituoni(polisi)....Nishawahi kuona mtu akiuwawa ilhali ni kwa kuhisiwa tu kuwa ni mwizi na mwizi husika alikimbia...usimpige mtu ambae hana kidhibiti mkononi na hauna uhakika kama ameiba,tusifuate mkumbo wengine ni masuala yao binafsi na anaitia mtu mwizi.
Damu ya mtu inatesa sana na kila aliyehusika hapo kiukweli hiyo damu itamtesa km hakuwa na silaha ya kudhuru watu na mkamuua.
 
Huyo mbona kama mwanafunzi pia. Mtu kaoga kapisa na bukta safi kabisa ... Au mambo ya mademu?
 
Anakitambulisho cha nit anadai alikuja kujisomea ika semister ilopita alipigwa pia kwa wizi akaokolewa

Sisi tunaoishi dit ndo tunajua masahibu tuyapatayo na sii mara ya kwanza huyu mtu kukamatwa dit


HAkika nyie wa DIT ni watalamu wa kuua vibaka.

Je na wezi mnaweza kuwa dedisha au ni vibaka tu????

Kwani tuna mpango wa kuwakabidhi kitengo cha kuwa dedisha jamaa waliokwapua ESCROW maana Serikali inawafahamu wote kisha wanakaa kimya tu.

Heri nyie mkimfahamu hamtaki masihala!!!!!


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
Mbona hafananii na vibaka? Huyu itakuwa ni issue za madem zimempeleka chuoni pengine akashindwa kujieleza basi akauwawa!

Kibaka kavaa boxer ya 10000? Wale wanavaaga tmk tu.......myb tamaa ilimponza akaiba akashikwa
 
Mimi ningekuwa kova nafunga shule kwa uchuguzi na kumkamata wanafunzi wote waliohusika.
Haipaswi kuchukua sheria mkononi mara nyingi wanao umia hawana hatia.
Mnashindwa kuwauua mawaziri wanaiba mabilioni mnaua watu wadogo wanaiba vitu vidogo.
In the big picture kama sio viongozi wabovu je tungekuwa tunaibiana vitu vidogo?

Hicho chuo kifungwe waliohusika washikwe kwa uchunguzi zaidi
 
Mbona hafananii na vibaka? Huyu itakuwa ni issue za madem zimempeleka chuoni pengine akashindwa kujieleza basi akauwawa!

Saa kumbe wizi unasura??? Wanakera hao Watu, huwezi kujua hiyo kero mpaka uibiwe
 
Please, wale wasichana pale ni wasomi; itakuwaje mmojwao awe na boy friend wa kuja kumtembelea akiwa amevaa bukta (mhuni wa barabarani). In conclusion, aliyeuawaa ni kibaka kajichanganya plan, full stop.

sasa mbona hao hao wasomi wamemuua mwizi kama wahuni tu wa kariakoo na manzese???!!!
 
Mbona hafananii na vibaka? Huyu itakuwa ni issue za madem zimempeleka chuoni pengine akashindwa kujieleza basi akauwawa!

Eeh vibaka wana sura gani ndg yangu...hehe...mwizi mwizi tuu...awe handsome awe mzee...siku hizi wezi wanavaa vzr ili usiwastukie
 
Wananchi hawana imani na mahakama.... Ni Wakati wa mahakama kujiangalia tatizo nini.

Mkuu, nakubaliana na wewe kwa asilimia zote. Tatizo lililopo ni mifumo ya usimamizi na utoaji haki. Mahakama na polisi wanatumika vibaya na hao ndio wa kulaumiwa.
 
Saa kumbe wizi unasura??? Wanakera hao Watu, huwezi kujua hiyo kero mpaka uibiwe

Pocha ni rahisi sana kusema hivo ila mtu kuuliwa namna hii bila kupata ushahidi usioacha shaka kwamba amefanya kitendo kinachositahili adhabu ya kifo sio sawa!
Tutachangangia kwa kusema tuu ila kama yakimkuta ndugu yako au wew mwenyew ndio utaelewa!
Zipo kesi kibao ambazo watu wameuawa kwa makosa ya kusingiziwa wizi!
Ni vema kuwa na uhakika wa kile kinachofanywa na kupata adhabu stahiki!
 
km ni kweli wasibitishe kaiba nn.enyi galatia msiokuwa na haya laana imo milangoni mwenu.mana nyie wenyewe wezi
 
Back
Top Bottom