Kibaka auliwa DIT akiiba

Kibaka auliwa DIT akiiba

babumapunda

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2012
Posts
4,644
Reaction score
3,314
Kijana wa kati ya miaka 25 hadi 28 auawa na wanafunzi wa DIT baada ya kukamatwa akiiba alfajiri ya kuamkia leo. Kumekuwa na matukio mengi ya wanafunzi kuibiwa laptop SIM tablets pamoja na nguo. Mwili wa mwizi huyo upo barabarani kati ya uzio wa DIT na Regency hospital.
 

Attachments

  • 1419047499785.jpg
    1419047499785.jpg
    33.8 KB · Views: 2,141
  • 1419047515445.jpg
    1419047515445.jpg
    43.6 KB · Views: 2,225
Wizi mbaya
 

Attachments

  • 1419048141548.jpg
    1419048141548.jpg
    51.2 KB · Views: 1,712
Mbona hafananii na vibaka? Huyu itakuwa ni issue za madem zimempeleka chuoni pengine akashindwa kujieleza basi akauwawa!
 
Mbona hafananii na vibaka? Huyu itakuwa ni issue za madem zimempeleka chuoni pengine akashindwa kujieleza basi akauwawa!

Please, wale wasichana pale ni wasomi; itakuwaje mmojwao awe na boy friend wa kuja kumtembelea akiwa amevaa bukta (mhuni wa barabarani). In conclusion, aliyeuawaa ni kibaka kajichanganya plan, full stop.
 
Jaman wanaoiba vyuoni ni wanafunzi wenzetu ambao wakipata BUM wao ni wadada mpaka liishe ndo wanatulia kusoma
 
Anakitambulisho cha nit anadai alikuja kujisomea ika semister ilopita alipigwa pia kwa wizi akaokolewa
 
Wezi wanaingia vyuoni kwa style nyingi sana, wengine wanajifanya wanafunzi, wengine Wanazuga wauza vitu ila mwisho wa siku wanakwapua mali za wanafunzi.

Wezi sina huruma nao, mtakumbuka tukio la mwana UDSM mmoja kuuwawa na wezi wenye silaha za moto ni kati ya mwaka 2012/2013 kwenye madarasa ya Yombo 1-3 hapo UDSM.
Vijana wenzetu hawana huruma wako tayari wakutoe uhai kisa laptop ya laki tano unayotumia kusoma, sasa kama wanakua na ukatili kiasi hiki sisi huruma ya nini?
Mwizi anastahili adhabu tu.

Any way aliyekufa ni binadamu.
R.I.P KAKA MWIZI
 

Attachments

  • 1419050033914.jpg
    1419050033914.jpg
    64.2 KB · Views: 915
  • 1419050073907.jpg
    1419050073907.jpg
    62.8 KB · Views: 887
  • 1419050092582.jpg
    1419050092582.jpg
    60.6 KB · Views: 895
Mbona hafananii na vibaka? Huyu itakuwa ni issue za madem zimempeleka chuoni pengine akashindwa kujieleza basi akauwawa!

Sisi tunaoishi dit ndo tunajua masahibu tuyapatayo na sii mara ya kwanza huyu mtu kukamatwa dit
 
Mapenzi shidaaa....pesa ndio kabisaa................wahalade..........wahaladeeeeeeeeee
 
Anakitambulisho cha nit anadai alikuja kujisomea ika semister ilopita alipigwa pia kwa wizi akaokolewa


Inasikitisha sana, Ima aama lijitetea kwamba ni mwanafunzi? Na watu hawakumsikiliza?Je walijuaje kama ni mwizi? walimkuta na kitu au niile kumkuta tuu mtu ndani na kuanza kumwita ni mwizi?
 
Back
Top Bottom