KHEE

KHEE

Hatari kweli mapenzi kiboko. Ni kugegedana tuu
Asilimia kubwa ya mapenzi kwa sasa yametawaliwa na pesa haijulikani nani anapendwa nani anapenda mambo yamekua shaghala baghala.
 
Hizi mada humu huwa zinawaumiza Sana singo maza wote humu ndani Waoneeni huruma nao waone kuzaa sio mkosi Wakuu!!
 
Halafu unakuta humu wengi wamelelewa na mama zao hata baba zao hawawajui.
Hizi mada humu huwa zinawaumiza Sana singo maza wote humu ndani Waoneeni huruma nao waone kuzaa sio mkosi Wakuu!!
 
Single mother anataka nimuoe kinguvu ananililia kila siku jaman huyo mzazi mwenzake aliyemzalisha Kwann asimuoe
muhifadhi aisee utapata dhambi,, huenda ushampandaaaa weeee ila kuoa hutaki 😡 😡 😡
 
Back
Top Bottom