MnipeNilimwambia bora tubak marafiki tu wakushauriana japo yeye hataki kusikia swala hilo
Kama huna mipango nae muweke wazi ...kama unamipango nae muweke wazi pia....usimpotezee mudaSingle mother anataka nimuoe kinguvu ananililia kila siku jaman huyo mzazi mwenzake aliyemzalisha Kwann asimuoe
IPO kibao tuHivi na Single fathers si wapo?
Hivi kumbe inawezekana kuwa na mtu na asigundue kama umeshajifungua mpaka umwambie!?!
Eti akulambe lolo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yes sikuizi mabinti wadogo wanajifungua mapema sana 21+ tayari ana mtt na mwili unajirudi fasta anakua binti tena kwaio asipo kwambia kama anamtt basi utaingia mkenge lkn ni vyema kuwa muwazi mapema ili muhusika achague kusuka ama kunyoa japo wapuuzi hawa hawawezi kukuacha ivi ivi lazima wakulambe lolo zen ndo wanakuacha kwa kisingizio cha siwezi date single mom...
Eti akulambe lolo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ehhh nyie wanawake mna dogo basi kama mwanafunzi wakike tu ana mimba na home kwao mpka shule hawajui mpka anajifungua sembuse awe ameshazaa ndyo utajua
Yes sikuizi mabinti wadogo wanajifungua mapema sana 21+ tayari ana mtt na mwili unajirudi fasta anakua binti tena kwaio asipo kwambia kama anamtt basi utaingia mkenge lkn ni vyema kuwa muwazi mapema ili muhusika achague kusuka ama kunyoa japo wapuuzi hawa hawawezi kukuacha ivi ivi lazima wakulambe lolo zen ndo wanakuacha kwa kisingizio cha siwezi date single mom...
Aliona akukoleze kwanza angekwambia mapema ungesepa.
Basi kwa mtaji huo hafai kuwa mke.
Nae aligundua hapo hakuna muoaji ndo maana akaficha.
Hahaha ngoma droo wote wasaniii
Ndo hivyo.