Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 29,333
- 83,777
Kipimo cha urefu kwa mwanaume na mwanamke kinatofautiana wanasema hivyo, men must be taller than women so kwa kimo chako wewe kwa mwanamke ni mrefu ila kwa mwanaume ni mfupi, kuna urefu ambao akiufikia mwanaume itaonekana kawaida ila akiufikia mwanamke ataonekana anatisha yaani kuanzia 6' na kuendelea hukoHicho kitu mwenyewe nilikijua kupitia kimo changu mimi.
Huwa najiona na kuitwa mrefu, ila kuna wachezaji tunawacheka wafupi ajabu nalingana nao!