Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,323
- 10,063
Mwanaume wa hivi, hata mkewe hamueshimu... Yaani ni kama tu fenicha kwake..
You think so?
Mwanaume wa hivi, hata mkewe hamueshimu... Yaani ni kama tu fenicha kwake..
Ngoja nikapike zangu chapati mie. . .
Wakija wale waukweli (wasioongozwa na vichwa vidogo) niite nisafishe nafsi kwa kuwasoma.
Mungu wangu!!!
Huyo mwanaume ana matatizo, si bora hata angemgalagaza huyo demu kwenye kichaka kuliko kumpeleka nyumbani kwake, lol!
Una akili nyingi sana wewe.Unamana gani unaposema kuchukua jumla? sijakupata vema.... Hata hivo tumeona wanaume ni wengi ambao wameoa wanatembea nje... sababu za kutembea huko nje zimetofautiana na ni topic nyingine kabisa. Kwamba akitembea na wewe hali akiwa na mke hamheshim huyo mwanamke? sio lazima... Inaweza ikawa kweli ama lah! Anaweza akawa na mke akatembea na mwanamke mwengine na akamheshimu vile vile... Akaheshim mke na huyo mwanamke pia.
queenkami........kuna watu watakuja kukwambia hapa mwanaume hakosei ila mwanamke ndo anachangia!!
Ngoja waje.......
Nuksi gani?Hao ndio wanaume bana.....kiukweli sijashangaa hata kidogo! Ila nna swali kwako km ww ndio muhusika sawa kama ni kesi ya dada yako pia sawa ila nna uhakika utakua najibu.
Baada ya huyo mke kugundua hilo akachakua uamuzi gani???
Mimi sitahangaika na huyo nguchiro aliyeletwa ndani maana sikufunga nae pingu za maisha na wala simfahamu sana2 nitamdharau na kumuonea huruma maana hajui mbele ya safari yake atakutana na masaibu ya aina gani.
Wanaume nyie jamani sikilizeni vilio vyetu basi looh,hamjionei huruma na nuksi zitakazowapata???!!!
Haya,leo mnaambizana mnapendana mnaleteana mahawara nyumbani.Kesho atalala nje halafu atakuambia"unajua mai waifu siku hizi nakupenda zaidi ya zamani ndo maana siku hizi siwaleti hapa namalizana nao huko huko"!. . .
Mtu kawezi kumpenda mkewe halafu akafanya uzinzi na mwanamke mwingine!Yoyote anaempenda mkewe atamheshimu na hataweza kumpa haki ya mkewe mwanamke mwingine!
Hivi nduguzanguni so called changudoa sio mwanamke?Ninawashukuru wote kwa kurespond kwa namna mlivyorespond........ninaheshimu mawazo yenu na ninakubaliana na nyie kuwa wa kudeal naye ni MUME aliyekula kiapo. Ni kweli kabisa LAKINI kama activist wa haki na heshma ya Mwanamke, nikitaka kuraise awareness juu ya haki na heshma ya wanawake niegemee upande gani?
Sawa chezewa kwa kupelekwa hotelini/guest houses but kuletwa nyumbani kwa mwanamke mwenzio, tena akiwa hayupo???? I would give the credict kuwa wapendwa kidhati iwapo utapelekwa wakati mke wa ndoa yupo, then would mean that the man amekuchoose wewe instead of Madame and that will give you a bit of credit iwapo huko kibiashara zaidi
Hivi labda tujiulize, nani atakaye mkomboa mwanamke? Jibu hapa lipo wazi sana kwamba mwanamke atakombolewa na mwanamke mwenzie na hii ipo tu ni nature. sasa tujiulize kivipi? Mwanamke atamkomboa mwanamke mwenzie kwa kuwa na umoja, ushirikiano na upendo na heshima miongon mwao. Mambo haya manne yakitumiwa vizuri na wanawake definately ukombozi ni lazima wala hautakawia. Dhana ya kwamba mwanaume ndiye mkombozi wa mwanamke mm huwa sikubalian nayo kabisa katika maisha yangu.
Kasheshe ni kwamba wanawake tuko kinyume kabisa na haya mambo 4 niliyoyaeleza na matokeo yake ni ksubiri huruma tu ya mwanaume. wanawake wakipendana kwa dhati definately hakuna atakaye tembea na mume wa mwenzie na tukishirikiana kwa umoja basi hawa waume wangekuwa wanashindwa hata kutongoza.
Unantamani?
Dahhhh
nashindwa kuelewa , Hivi kama unajua fika huyu ni mume wa mtu anafamilia yake,
unamfuata wa nini? Hii ya kwenda mpaka kitandani kwake imepita kiasi (disgusting)
ni aibu kwa kweli ..
umewahi sikia 'i f.u.c.k.e.d her,but i only make love to you'?????
Dahhhh
nashindwa kuelewa , Hivi kama unajua fika huyu ni mume wa mtu anafamilia yake,
unamfuata wa nini? Hii ya kwenda mpaka kitandani kwake imepita kiasi (disgusting)
ni aibu kwa kweli ..