nguluvisonzo
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 515
- 72
waislam tumeshaistukia kwamba bakwata sio chombo cha kusimamia na kuendeleza uislam bali kiliundwa mahsusi kwa ajili ya kuwagawa waislam na maamuzi yote wanayapata ccm na serikalini, bakwata ni kichefu chefu.
BAKWATA kama BAKWATA hawana matatizo globalization imeingia mpaka kwenye dini,kilichopo sasa hivi kuna kundi linaitwa wavaa suluali fupi(jina la kidini nimelisahau) hawa jamaa bwana wanapeleka mambo tofauti na BAKWATA hivyo kunakuwa na mchanganyiko sana,kikubwa wanachokifanya hawa kuonyesha BAKWATA hawafanyi kazi yao na wao ndio mbadala,kabla yao walikuwa SUNI,HAMADIA,SHIA nk.hakukuwa na vurumai,walivyoanzisha dhehebu lao hawa jamaa ni balaa kwanza walianza na kupora misikiti kwa nguvu na kuweka viongozi wao fuata masharti yao,sikukuu ya IDD wakaanza kula mapema zaidi na kujigamba wako sahihi ilimuradi ikawa vuluvulu tupu.