Kodi ya uzalendo ianze na Hawa wazalendo wa kweli maana hata wangekata 1000 kwenye 10000 ya mshahara wa Mbunge tungekusanya pesa za kutosha.noma
Kisha majaji nao, badala ya kuwakamua dagaa.
Kodi ya uzalendo ianze na Hawa wazalendo wa kweli maana hata wangekata 1000 kwenye 10000 ya mshahara wa Mbunge tungekusanya pesa za kutosha.noma
Kuna Vituko Bongo si kidogoHivi miamala na mihemko ni ndugu?
Maana nilimsikia jamaa anasema Ana mihemko katuma muamala halafu aliyetumiwa kazima simu
Tumenuna zaidi ya miaka mitano. Tumpe nafasi mama akiendelea kuturejeshea tabasamu.Siku Watanzania watapovua koti la mambo ya siasa na kuangalia vitu kwa akili zao wenyewe, mambo yatabadilika overnight.
Tuendelee kunywa mtori, nyama ziko chini.