Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,493
Masanilo binti wa kipemba umemwacha? vipi tena wamtolea macho Liz?
Tupo shwari ila macho hayakwepi matamanio!
Masanilo binti wa kipemba umemwacha? vipi tena wamtolea macho Liz?
upondaji kama huu balaa!Nampongeza sana tena sana huyo kijana wa Kinigeria kwa hatua aliyoifikia kuacha kuowa kwao na kumchumbia huyo binti wa T.kwani wasichana wa kinaigeria wanatisha Mungu nisamehe wewe ndio mumba lakini wasichana wao nyuso zao kama mawe ubahatike tu ukutane na mwenye uso ulio fanana na mwamake nafikiri kwao kijijini jamaa watamuona kaja la malikia subiri mtajionea wenywe,binafsi hupigwa na butwaa na hawa watu na kujiuliza inakuwaje mwamume unapokuwa na msichan mwenye uso wakiume kama ndio mke au mpenzi wako?
....duuuuuuh mbona kule mjengoni alikuwa ...staki nataka.....mara oooooh mi s-date na blacks...sasa nini tena? anakimbia unung'ayembe or wht?
Alishasema hajawahi kudate na black, najiuliza kwa hii black kafuata nini, anyway tunawatakia kila la kheri.
Last Saturday (21 Aug) while at the Ogus Baba Laugh Goes On comedy club in Port Harcourt, Big Brother Revolution winner, Kevin Chuwang Pam and his lady friend, and Revolution contestant Elizabeth Gupta got up on stage and performed a track together.
Nigerias biggest comedian, Ali Baba introduced the couple to the 2000 strong crowd. Once theyd finished performing Una Pata Mambo (Anything you want, right there you get it), Kevin went down on one knee and proposed to Elizabeth. He said he kept it simple and just asked: Elizabeth, will you marry me.
The crowd started screaming: say yes, say yes, say yes and obviously she did. Kevin then says a woman broke free from the crowd, ran onto the stage and congratulated them both with a huge hug!!!!
Source
Eliza si alisema she dont date weusi au sikumwelewa vizuri!Dah hela ndo kila kitu:A S 8: