Mzee Chapuuka
Member
- Apr 21, 2017
- 97
- 243
Wakuu salama
Jamanii mwenzenu nna miezi kadhaa sasa sijasikia kesi za watu kubakwa
Si kwenye TV,Radio,mtaani au gazeti
Je ni kwamba watu wameokoka au bwana Pombe Magu kawanyoosha hadi wabakaji na sasa wanasoma namba
Najiuliza Tu.
Jamanii mwenzenu nna miezi kadhaa sasa sijasikia kesi za watu kubakwa
Si kwenye TV,Radio,mtaani au gazeti
Je ni kwamba watu wameokoka au bwana Pombe Magu kawanyoosha hadi wabakaji na sasa wanasoma namba
Najiuliza Tu.