MISULI
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 7,826
- 5,451
Ni takriban wiki mbili au tatu sasa tangu wakili msomi Fatuma Karume alipoenda kufungua kesi dhidi ya afisa wa polisi kwa madai ya kudharirishwa. Ni kesi iliyovuta hisia za watu wengi mno hasa kwa wafuasi wa vyama vya siasa.
Mara ya mwisho nilisikia tu wakili msomi Tundu lisu kuungana na mawakili wengine 29 kumtetea Fatuma Karume katika hiyo kesi ambayo yeye anadai alipwe bil 5 kama fidia baada ya kudharirishwa. Naomba yeyote mwenye kujua nini kinaendelea ktk hiyo kesi anifahamishe.Ahsante.
posti fromu Nokia kitochi yuzingi jamii forum
Mara ya mwisho nilisikia tu wakili msomi Tundu lisu kuungana na mawakili wengine 29 kumtetea Fatuma Karume katika hiyo kesi ambayo yeye anadai alipwe bil 5 kama fidia baada ya kudharirishwa. Naomba yeyote mwenye kujua nini kinaendelea ktk hiyo kesi anifahamishe.Ahsante.
posti fromu Nokia kitochi yuzingi jamii forum