Waziri Simbachawene, kesi ya mwanao aliyetusi polisi wetu ilifikia wapi? Je, hizi kesi 1700s mlizofungua dhidi ya watumishi ni akina nani?

sifi leo

JF-Expert Member
Mar 30, 2012
5,013
8,369
Waziri George Simbachawene nakusalimu kwa jina la jamhuri ya Muungano Wa Tanzania.

Waziri naomba nitangulize samahani kwani naenda kuzungumzia mambo mawili mazito ila yote yanausu Kesi.

Kesi ya kwanza hii ni ya mtoto wako, ambae kipindi cha nyuma alionekana kwenye mitandao akitoa matusi mazito kwa baadhi ya Watumishi wa jeshi la polisi kesi hii iliishia wapi? Maana hatukupewa mrejesho na jeshi la polisi wala familia iliyomlea mtoto katika maadili ya namna ya ovyo ya kutokutambua nafasi za wazazi katika utumishi wa umma na kubievu like a son of royal kind familly.

Nimewiwa kuanza na kesi hii ili niweze kujenga msingi mzuri wa hoja ya pili inayousu KESI ambayo kimsingi nayo ipo chini ya wizara yako nayo ni

KUFUNGULIWA KWA KESI 1700 kuanzia mwaka 2021 mpaka 2023 dhidi ya wabadhilifu wa mali za UMMA, yaani kwa ufupi KUHUS WEZI WA KALAMU AMBAO NI WAAJILIWA WA WALIPA KODI SERIKALINI.

Waziri hizi kesi zinaendeleje? Kuna mafanikio? Je, waliofunguliwa kesi wapo kwenye viti vyao vya Utumishi?

Sheria ikoje mtu anatuhumiwa kuiba fedha za umma bado anakalia kiti cha utumishi uku anaendelea kutafuna posho na mishahara uku akienda mahakamani?

Waziri nani asiyejua utendaji wa mahakamana zetu? Nani asiyejua utendaji wa Mawakili wa serikali katika kutetea nchi hii?

Waziri mbona watu wanaiba kuku na kuni mtaani wakikamatwa wanatangazwa lakini nyinyi mnapowapeleka mahakamani hamtwambii tuwajue?

Hivi aliyefunguliwa mashitaka kwanini tusijulishwe akatajwa tumjue.

Waziri naomba majibu.
 
Waziri George Simba Chawene nakusalimu kwa jina la jamhuri ya Muungano Wa Tanzania.

Waziri naomba nitangulize samahani kwani naenda kuzungumzia mambo mawili mazito ILA yote yanausu Kesi.

Kesi ya kwanza hii ni ya mtoto wako, ambae kipindi cha nyuma alionekana kwenye mitandao akitoa matusi mazito kwa baadhi ya watumishi wa jeshi la polisi kesi hii iliishia wapi? Maana hatukupewa mrejesho na jeshi la polisi wala familia iliyomlea mtoto katika maadili ya namna ya ovyo ya kuto kutambua nafasi za wazazi katika utumishi wa umma na kubievu like a son of royal kind familly.

Nimewiwa kuanza na kesi hii ili niweze kujenga msingi mzuri wa hoja ya pili inayousu KESI ambayo kimsingi nayo ipo chini ya wizara yako nayo ni

KUFUNGULIWA KWA KESI 1700 kuanzia mwaka 2021 mpaka 2023.dhidi ya wabadhilifu wa mali za UMMA,yaani kwa ufupi KUHUS WEZI WA KALAMU AMBAO NI WAAJILIWA WA WALIPA KODI SERIKALINI.

Waziri hizi kesi zinaendeleje? Kuna mafanikio? Je, waliofunguliwa kesi wapo kwenye viti vyao vya utumishi?

Sheria ikoje mtu anatuhumiwa kuiba fedha za umma bado anakalia kiti cha utumishi uku anaendelea kutafuna posho na mishahara uku akienda mahakamani?

Waziri nani hasiye jua utendaji wa mahakamana zetu? Nani hasiyejua utendaji wa mawakili wa serikali katika kutetea nchi hii?

Waziri mbona watu wanaiba kuku na kuni mtaani wakikamatwa wanatangazwa lakini nyinyi mnapo wapeleka mahakamani hamtwambii tuwajue?

Hivi aliyefunguliwa mashitaka kwa nini tusijulishwe akatajwa tumjue.

Mh waziri naomba majibu.
Tatizo walalamikaji hawakufika mahakamani, mlalamikaji asipofika mahakamani kesi hufutwa.
 
Waziri George Simbachawene nakusalimu kwa jina la jamhuri ya Muungano Wa Tanzania.

Waziri naomba nitangulize samahani kwani naenda kuzungumzia mambo mawili mazito ila yote yanausu Kesi.

Kesi ya kwanza hii ni ya mtoto wako, ambae kipindi cha nyuma alionekana kwenye mitandao akitoa matusi mazito kwa baadhi ya Watumishi wa jeshi la polisi kesi hii iliishia wapi? Maana hatukupewa mrejesho na jeshi la polisi wala familia iliyomlea mtoto katika maadili ya namna ya ovyo ya kutokutambua nafasi za wazazi katika utumishi wa umma na kubievu like a son of royal kind familly.

Nimewiwa kuanza na kesi hii ili niweze kujenga msingi mzuri wa hoja ya pili inayousu KESI ambayo kimsingi nayo ipo chini ya wizara yako nayo ni

KUFUNGULIWA KWA KESI 1700 kuanzia mwaka 2021 mpaka 2023 dhidi ya wabadhilifu wa mali za UMMA, yaani kwa ufupi KUHUS WEZI WA KALAMU AMBAO NI WAAJILIWA WA WALIPA KODI SERIKALINI.

Waziri hizi kesi zinaendeleje? Kuna mafanikio? Je, waliofunguliwa kesi wapo kwenye viti vyao vya Utumishi?

Sheria ikoje mtu anatuhumiwa kuiba fedha za umma bado anakalia kiti cha utumishi uku anaendelea kutafuna posho na mishahara uku akienda mahakamani?

Waziri nani asiyejua utendaji wa mahakamana zetu? Nani asiyejua utendaji wa Mawakili wa serikali katika kutetea nchi hii?

Waziri mbona watu wanaiba kuku na kuni mtaani wakikamatwa wanatangazwa lakini nyinyi mnapowapeleka mahakamani hamtwambii tuwajue?

Hivi aliyefunguliwa mashitaka kwanini tusijulishwe akatajwa tumjue.

Waziri naomba majibu.
Kesi ziko Ofisi ya DPP Sasa Serikali haiwezi taja jina Kwa jina ila kusema ukweli Huwa naona sana hizo kesi kwenye vyombo vya habari unless hufuatilii.

Na kuthibitisha Hilo ndio maana nimekuwa nashangaa kule Ajira portal matangazo ya Ajira hayaishi nilikuwa najua ni kuongeza Watumishi kumbe wanaziba nafasi wale waliofukuzwa.
 
Alinikera sana huyu pale alipothubutu kusimama bungeni kuitetea serikali dhidi ya ubadhirifu wote ule uliotajwa na CAG!

Simbachawene ni mwizi kama vile alivyo Mwigulu na Makamba na Nape na weezii wooote wa CCM.
Maccm yote mezi kuanzia kubwa lao
 
Alinikera sana huyu pale alipothubutu kusimama bungeni kuitetea serikali dhidi ya ubadhirifu wote ule uliotajwa na CAG!

Simbachawene ni mwizi kama vile alivyo Mwigulu na Makamba na Nape na weezii wooote wa CCM.
Anajidaia Baba yake ni mganga wa kienyeji huko kwao hatari sanaaa
 
Waziri George Simbachawene nakusalimu kwa jina la jamhuri ya Muungano Wa Tanzania.

Waziri naomba nitangulize samahani kwani naenda kuzungumzia mambo mawili mazito ila yote yanausu Kesi.

Kesi ya kwanza hii ni ya mtoto wako, ambae kipindi cha nyuma alionekana kwenye mitandao akitoa matusi mazito kwa baadhi ya Watumishi wa jeshi la polisi kesi hii iliishia wapi? Maana hatukupewa mrejesho na jeshi la polisi wala familia iliyomlea mtoto katika maadili ya namna ya ovyo ya kutokutambua nafasi za wazazi katika utumishi wa umma na kubievu like a son of royal kind familly.

Nimewiwa kuanza na kesi hii ili niweze kujenga msingi mzuri wa hoja ya pili inayousu KESI ambayo kimsingi nayo ipo chini ya wizara yako nayo ni

KUFUNGULIWA KWA KESI 1700 kuanzia mwaka 2021 mpaka 2023 dhidi ya wabadhilifu wa mali za UMMA, yaani kwa ufupi KUHUS WEZI WA KALAMU AMBAO NI WAAJILIWA WA WALIPA KODI SERIKALINI.

Waziri hizi kesi zinaendeleje? Kuna mafanikio? Je, waliofunguliwa kesi wapo kwenye viti vyao vya Utumishi?

Sheria ikoje mtu anatuhumiwa kuiba fedha za umma bado anakalia kiti cha utumishi uku anaendelea kutafuna posho na mishahara uku akienda mahakamani?

Waziri nani asiyejua utendaji wa mahakamana zetu? Nani asiyejua utendaji wa Mawakili wa serikali katika kutetea nchi hii?

Waziri mbona watu wanaiba kuku na kuni mtaani wakikamatwa wanatangazwa lakini nyinyi mnapowapeleka mahakamani hamtwambii tuwajue?

Hivi aliyefunguliwa mashitaka kwanini tusijulishwe akatajwa tumjue.

Waziri naomba majibu.
Police wenu na nani? acha ujinga wewe
 
Waziri George Simbachawene nakusalimu kwa jina la jamhuri ya Muungano Wa Tanzania.

Waziri naomba nitangulize samahani kwani naenda kuzungumzia mambo mawili mazito ila yote yanausu Kesi.

Kesi ya kwanza hii ni ya mtoto wako, ambae kipindi cha nyuma alionekana kwenye mitandao akitoa matusi mazito kwa baadhi ya Watumishi wa jeshi la polisi kesi hii iliishia wapi? Maana hatukupewa mrejesho na jeshi la polisi wala familia iliyomlea mtoto katika maadili ya namna ya ovyo ya kutokutambua nafasi za wazazi katika utumishi wa umma na kubievu like a son of royal kind familly.

Nimewiwa kuanza na kesi hii ili niweze kujenga msingi mzuri wa hoja ya pili inayousu KESI ambayo kimsingi nayo ipo chini ya wizara yako nayo ni

KUFUNGULIWA KWA KESI 1700 kuanzia mwaka 2021 mpaka 2023 dhidi ya wabadhilifu wa mali za UMMA, yaani kwa ufupi KUHUS WEZI WA KALAMU AMBAO NI WAAJILIWA WA WALIPA KODI SERIKALINI.

Waziri hizi kesi zinaendeleje? Kuna mafanikio? Je, waliofunguliwa kesi wapo kwenye viti vyao vya Utumishi?

Sheria ikoje mtu anatuhumiwa kuiba fedha za umma bado anakalia kiti cha utumishi uku anaendelea kutafuna posho na mishahara uku akienda mahakamani?

Waziri nani asiyejua utendaji wa mahakamana zetu? Nani asiyejua utendaji wa Mawakili wa serikali katika kutetea nchi hii?

Waziri mbona watu wanaiba kuku na kuni mtaani wakikamatwa wanatangazwa lakini nyinyi mnapowapeleka mahakamani hamtwambii tuwajue?

Hivi aliyefunguliwa mashitaka kwanini tusijulishwe akatajwa tumjue.

Waziri naomba majibu.
Wakijibu tushtuane
 
Alinikera sana huyu pale alipothubutu kusimama bungeni kuitetea serikali dhidi ya ubadhirifu wote ule uliotajwa na CAG!

Simbachawene ni mwizi kama vile alivyo Mwigulu na Makamba na Nape na weezii wooote wa CCM.
Baraza zima la Mawaziri limejaa majizi tupu
 
Waziri George Simbachawene nakusalimu kwa jina la jamhuri ya Muungano Wa Tanzania.

Waziri naomba nitangulize samahani kwani naenda kuzungumzia mambo mawili mazito ila yote yanausu Kesi.

Kesi ya kwanza hii ni ya mtoto wako, ambae kipindi cha nyuma alionekana kwenye mitandao akitoa matusi mazito kwa baadhi ya Watumishi wa jeshi la polisi kesi hii iliishia wapi? Maana hatukupewa mrejesho na jeshi la polisi wala familia iliyomlea mtoto katika maadili ya namna ya ovyo ya kutokutambua nafasi za wazazi katika utumishi wa umma na kubievu like a son of royal kind familly.

Nimewiwa kuanza na kesi hii ili niweze kujenga msingi mzuri wa hoja ya pili inayousu KESI ambayo kimsingi nayo ipo chini ya wizara yako nayo ni

KUFUNGULIWA KWA KESI 1700 kuanzia mwaka 2021 mpaka 2023 dhidi ya wabadhilifu wa mali za UMMA, yaani kwa ufupi KUHUS WEZI WA KALAMU AMBAO NI WAAJILIWA WA WALIPA KODI SERIKALINI.

Waziri hizi kesi zinaendeleje? Kuna mafanikio? Je, waliofunguliwa kesi wapo kwenye viti vyao vya Utumishi?

Sheria ikoje mtu anatuhumiwa kuiba fedha za umma bado anakalia kiti cha utumishi uku anaendelea kutafuna posho na mishahara uku akienda mahakamani?

Waziri nani asiyejua utendaji wa mahakamana zetu? Nani asiyejua utendaji wa Mawakili wa serikali katika kutetea nchi hii?

Waziri mbona watu wanaiba kuku na kuni mtaani wakikamatwa wanatangazwa lakini nyinyi mnapowapeleka mahakamani hamtwambii tuwajue?

Hivi aliyefunguliwa mashitaka kwanini tusijulishwe akatajwa tumjue.

Waziri naomba majibu.
Wachumia matumbo hawa, kila kitu kichungu kwao huwa kitamu.Taifa lenye viongozi machawa usitegemee chochote kipya.
 
Back
Top Bottom