PreGE2025 Kesi ya Uhaini inayomkabili Tundu Lissu yaahirishwa hadi Juni 16

PreGE2025 Kesi ya Uhaini inayomkabili Tundu Lissu yaahirishwa hadi Juni 16

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
Naombea haki itendeke haraka iwezekanavyo, kamwe isicheleweshwe, tusiharibu uchumi wa nchi yetu pasipo na sababu. Watu warudi kwenye shughuri zao za kila siku including TAL kwenye shughuri zake za kisiasa ambapo tunahitaji kuiona demokrasia ikichukua nafasi yake kupitia uchaguzi ujao
 
Tunamshukuru Mungu hata katika haya magumu wanayotutendea watawala mawakala wa shetani. Kama Mungu wetu wa haki amependa ukombozi wa Taifa upitie njia hii, tutaendelea kumshukuru, maana tumeaswa kuwa tushukuru kwa kila jambo.

Labda Mungu ametaka kabla ya ukombozi, awaoneshe wananchi wote ili wapate kujua walikuwawanatawaliwa na mashetani ya kiwango kikubwa.

Anayeitafuta haki ni mtumishi wa Mungu, anayedhulumu haki ni mtumishi wa shetani.

Tukatae Samialization, maana samialization ni kuishi katika ushetani wa kudhulumu haki za binadamu.

Mungu wetu, tunaomba neema za pekee kwaajili ya mtumishi wako Tundu Lisu, na laana kuu kwaajili ya waumini wa samialization.
Amina🙏🙏🙏
 

Leo ni wakati mwingine tena wa kusikiliza kesi zinanzomkabilo Tundu Lissu.

Nini kitajiri, tutarajie kusikia habari mpya ya Lissu kuachiwa?

Wacha tuone nini kitajiri.



====================================

Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa ajili ya kusikilizwa kwa kesi za jinai zinazomkabili ikiwemo kuchapisha taarifa za uongo mtandaoni.

Lissu ambaye hivi karibuni amechaguliwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa International Democrat Union (IDU) anakabiliwa na kesi mbili mbele ya Mahakimu wawili tofauti.

Makama Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche alivyotinga kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kusikiliza kesi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu.

View attachment 3353289
Aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na MaendeleoCHADEMA. Wilbroad Slaa akiingia katika viunga vya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar Es Salaam kwa ajili ya kufuatilia kesi zinazomhusu Mwenyekiti wa chama hicho Tundu Lissu

Godbless Lema awasili ndani ya chumba cha Mahakama, ulinzi waimarishwa.

Ulinzi mkali umetawala katika eneo la Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakati wa kusikiliza kesi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu
View attachment 3353285
Askofu Mwamakula akiongoza maombi ndani ya chumba cha Mahakama

View attachment 3353267


Mbona hakuna kinachoendelea?
 
Zinaitwa hype, ila kwa watu tunaofaham usalama si lazima. huku US mfungwa haletwi mahakamani na rundo la watu
images.jpeg


Nchi zote zikiamua kuhype kitu Kwa sababu mbalimbali. Ndio unaona maigizo kama hayo ya usalama. It's more of kufikisha ujumbe.
 

Leo ni wakati mwingine tena wa kusikiliza kesi zinanzomkabilo Tundu Lissu.

Nini kitajiri, tutarajie kusikia habari mpya ya Lissu kuachiwa?

Wacha tuone nini kitajiri.



====================================

Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa ajili ya kusikilizwa kwa kesi za jinai zinazomkabili ikiwemo kuchapisha taarifa za uongo mtandaoni.

Lissu ambaye hivi karibuni amechaguliwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa International Democrat Union (IDU) anakabiliwa na kesi mbili mbele ya Mahakimu wawili tofauti.

Makama Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche alivyotinga kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kusikiliza kesi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu.

View attachment 3353289
Aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na MaendeleoCHADEMA. Wilbroad Slaa akiingia katika viunga vya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar Es Salaam kwa ajili ya kufuatilia kesi zinazomhusu Mwenyekiti wa chama hicho Tundu Lissu

Godbless Lema awasili ndani ya chumba cha Mahakama, ulinzi waimarishwa.

Ulinzi mkali umetawala katika eneo la Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakati wa kusikiliza kesi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu
View attachment 3353285
Askofu Mwamakula akiongoza maombi ndani ya chumba cha Mahakama

View attachment 3353267



View: https://www.youtube.com/live/UBfiuAqfLW8?si=faFnTspX4OThRCh7
 
Hizi delaying tacticts ambazo zinafanywa na upande wa mashtaka ni absolute bullshit. Kila siku ushahid haukamiliki, wakati kesi kama hii jalada huwa halikamiliki bila evidence

Why vyombo vinajiabisha?
 
Back
Top Bottom