Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 12,215
- 10,283
According to the latest report by Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA), as of December 2024, there were 25.4 million smartphone users, equivalent to 35.9 per cent, up from 33.8 per cent as recorded in September last year. Hii ni ya 2025.Pia elewe Watanzania wangapi wana ''afford'' live streaming! Kwa takwimu hizo hizo baada ya wiki 1 utaona eneo linalorekodi kama You Tube inaweza kupita 100K unaosema.
JokaKuu
Katika watu 25.4 million ni watu 50,000 tu ndio walio bother ku tune in. Ukweli ni kuwa watanzania would rather tune in to Mange au derby kuliko anything political. Those statistics were ridiculous and should not have been brought up. Hata wakifika 500,000 itakuwa bado ridiculous, especially considering your claim that you have millions of members in Tanzania. They should be a wake up call lakini kama kawaida yenu, kila kitu ni kosa la wengine na sio lenu. Sasa hivi watu wenu wanatakiwa kuwa wanapitia hizo figures na kuangalia namna gani ya kuzipandisha. Lakini no, mko hapa mnatafuta sababu tuu za kuonekana kuwa nyie ni victims of a grand conspiracy. You are your own worst enemy. Na mkimaliza kuwalaumu Chaumma na kuona hamna kinachobadilika mtageukiana wenyewe kutafuta so-alled wasaliti!
Amandla...