Leo ni wakati mwingine tena wa kusikiliza kesi zinanzomkabilo Tundu Lissu.
Nini kitajiri, tutarajie kusikia habari mpya ya Lissu kuachiwa?
Wacha tuone nini kitajiri.
====================================
Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa ajili ya kusikilizwa kwa kesi za jinai zinazomkabili ikiwemo kuchapisha taarifa za uongo mtandaoni.
Lissu ambaye hivi karibuni amechaguliwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa International Democrat Union (IDU) anakabiliwa na kesi mbili mbele ya Mahakimu wawili tofauti.
Godbless Lema awasili ndani ya chumba cha Mahakama, ulinzi waimarishwa.
ni katika chaneli gani mkuuKila lenye heri kwa mpenda haki Tundu Antipasi Mghwai Lissu
Kinachomuongoza ni Imani, Ideology na upigania haki. Habadilishwi na nyakati bali UhalisiaLissu ndie consistent activist wa muda wote bila kujali alie madarakani ni nani, dini gani, kabila au nini, bila kumsahau Heche
AminaMungu atamlinda na kila ubaya mtumishi wake kama alivyomwokoa na mauti ya Sept 7, 2017
Mpakwa mafuta wa Bwana huyu.Ulinzi huu WA Lisu Una maana gani?
Mtuhumiwa analindwa Kama pope.
Utawala uliofitinikaHIzi gharama za kuendesha kesi ya uongo ambayo kila mtu hapa nchi na dunia nzima wanajua kuwa mh Lissu anaonewa kuna sababu gani haswa kuzitumia?
Lissu hana kosa.
AmeeniTuko upande wa khaki MUNGU ni mwema
Zinaitwa hype, ila kwa watu tunaofaham usalama si lazima. huku US mfungwa haletwi mahakamani na rundo la watuMagereza wote hao wanaokimbizana na gari wanafanya hivyo kwa kusudi gani hasa? Ndio usalama? Kweli wizara ya mambo ya ndani ni bure kabisa.
Hakuna sababu ya msingi ya kuzurura na bunduki hadharani bila mantiki yoyote. Labda wanatafuta attention tu. Wamekuwa kama polisi wanaotafuta attention.