Jamaa anasema kama ni makosa mbona wengi tu ndani ya CCM wamekosa ila wanatamba mtaani? kwa nini awe Sabaya tu. ?Unajaribu kutuaminisha kesi za Sabaya inasukumwa zaidi na chuki za kisiasa dhidi yake.?
Au unamaanisha Ccm imemtosa Sabaya na kama wangekuwa na umoja huenda wangemtetea?
... kuwa na kesi ya kujibu sio hukumu Mzee. Wenye mashtaka walijua wataumbuka wakaamua kuweka mpira kwapani.Kama Mahakama ilivyothibitisha kuwa Mbowe ana kesi ya kujibu ya ugaidi lkn zikapigwa chupli chupli akaachiwa
Hili pia linafikirisha, maana hata hao waliopiga dili huko Escrow na kwingineko ni majambazi tu.Jamaa anasema kama ni makosa mbona wengi tu ndani ya CCM wamekosa ila wanatamba mtaani? kwa nini awe Sabaya tu. ?
CCM ilikuwa ikiongozwa na jambazi, yule jambazi kafa, chama kimerudi kwa wenye akili timamu, ndio maana unaona majambazi wanashughulikiwaAlishawahi kuitwa kwenye kamati ya maadili ya CCM,nini maana ya hiyo kamati..mimi nitaamini vipi?
Kuwa na kesi ya kujibu ndo kuhukumiwa kwamba ulitenda?Kama Mahakama ilivyothibitisha kuwa Mbowe ana kesi ya kujibu ya ugaidi lkn zikapigwa chupli chupli akaachiwa
Nadhani Tajiri Tanzanite hawezi kukuelewa hapo. Fafanua, ukimuunganisha na huyo anayegombana na GSM, ni kwamba wako wengi wa aina hiyo kwa UZALENDO!? au kwa sifa ipi? Maana Tajiri Tanzanite anamuona Sabaya ni mzalendo kweri kweri......Akina Sabaya wako wengi sana.
Mwingine anagombana na akina GSM huko regent!
Alikuwa akitumwa na Magufuli, kama Makonda alivyotumwa na Magufuli kuvamia clouds tvHuko alikokuwa anazunguka na kupokonya pesa za watu hapakuwa na viongozi wa Serikali wa maeneo hayo au alikuwa akienda kwa kofia ipi?
Pigeni hizo chupli chupli kwa sabaya basiKama Mahakama ilivyothibitisha kuwa Mbowe ana kesi ya kujibu ya ugaidi lkn zikapigwa chupli chupli akaachiwa
Kwa hiyo wewe unataka uaminishwe ndio ukubali kwamba Sabaya alikuwa jambazi?Alishawahi kuitwa kwenye kamati ya maadili ya CCM,nini maana ya hiyo kamati..mimi nitaamini vipi?
Kama anao ushahidi wa kutosha kuendesha kesi dhidi ya hao anowatuhumu/anaowahisi , anayo haki/wajibu wa kwenda mahakamani kufungua mashitaka.Jamaa anasema kama ni makosa mbona wengi tu ndani ya CCM wamekosa ila wanatamba mtaani? kwa nini awe Sabaya tu. ?
Tajiri tanzanite, anashindwa kuainisha makosa ya matumizi mabaya ya ofisi na makosa ya jinai.Jamaa anasema kama ni makosa mbona wengi tu ndani ya CCM wamekosa ila wanatamba mtaani? kwa nini awe Sabaya tu. ?
Pia mahakama ilidhibitisha mbowe anakesi ya kujibu....hapo imekaaje?... Mahakama imethibitisha uhalifu wake; who are you?
Unatia aibu mkuu kwa utetezi wa kitoto.Alishawahi kuitwa kwenye kamati ya maadili ya CCM,nini maana ya hiyo kamati..mimi nitaamini vipi?
Mbona Clouds TV wao hawasemi kama walivamiwa na Makonda badala yake anayekomalia ni Kubenea?Alikuwa akitumwa na Magufuli, kama Makonda alivyotumwa na Magufuli kuvamia clouds tv