Sigara Kali
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 3,708
- 8,746
Kama mada inavyojieleza
Kuna wakati zilienea taarifa za mwalimu kwa jina Ayubu wa St Florence P school DSM za kuwala wanafunzi wake wa std 7
Wazazi walihamaki na kujaa upepo mbaya hasa wamama
Jamaa akaingia mitini
Baada ya hapo sikusikia tena kama Jamaa kakamatwa au LA
Mnijuze
Kuna wakati zilienea taarifa za mwalimu kwa jina Ayubu wa St Florence P school DSM za kuwala wanafunzi wake wa std 7
Wazazi walihamaki na kujaa upepo mbaya hasa wamama
Jamaa akaingia mitini
Baada ya hapo sikusikia tena kama Jamaa kakamatwa au LA
Mnijuze