Leo Hakimu Mteite amewaachia huru Mbunge Sugu na Mzee wa Upako Mwambighija baada yamwenda mashitaka kushindwa kuleta ushahidi ni wa namna gani wananchi waliathirika kwa Mbunge huyo na Viongozi wa Chadema kufanya mkutano bila kibali tuhuma ambazo zimeonekana hazikuwa na ukweli wowote