Kesi ya Mbowe: Mzee wa Upako anena Mazito

Kesi ya Mbowe: Mzee wa Upako anena Mazito

Hapa chini ni nukuu halisi kutokea kwa baba Askofu Lusekelo:

View attachment 2052368

Kauli yake inaakisi kauli za maaskofu na masheikh wengine wengi wakiwamo kina:

"Sheikh Ponda, Dr. Shoo, Niwemugizi, Mwamakula, Dr. Bagonza, na wengi wengine."

Mwangwi kama huo unasikika kutokea kwa manguli kama kina Prof. Shivji, Lwaitama, Ulimwengu, Warioba nk.

Kwa hakika ni furaha kuu mbinguni na nchini, sauti nzito kama hizi zinaposikika.

Haipo shaka kuwa tuko katika njia sahihi.

Kwa hakika ni suala la muda tu, kwani inafahamika Mola hajawahi kuwaacha waja wake.

Eeh mola wetu ukawape ujasiri zaidi watumishi wako hawa kuweza kutufikisha kunako taifa la ahadi.

Taifa lenye utamalaki wa haki, uhuru usawa na demokrasia.

Eeh Mola wetu, ukatusikie.
The rights of every man are diminished when the rights of one man are threatened.
John F. Kennedy
 
w
Mmeshaanza kuweweseka. Msitake kuwafitinisha wasukuma. Wengine tumeoa huko na wasukuma ni ma shemeji zetu.

Tofautisha wasukuma na genge lenu la kitapeli la viroboto na wahuni.
wamefiliska kisiasa?
 
The rights of every man are diminished when the rights of one man are threatened.
John F. Kennedy

IMG_20211211_233507_327.jpg


It should serve as a wake up call to the rest.
 
Hapa chini ni nukuu halisi kutokea kwa baba Askofu Lusekelo:

View attachment 2052368

Kauli yake inaakisi kauli za maaskofu na masheikh wengine wengi wakiwamo kina:

"Sheikh Ponda, Dr. Shoo, Niwemugizi, Mwamakula, Dr. Bagonza, na wengi wengine."

Mwangwi kama huo unasikika kutokea kwa manguli kama kina Prof. Shivji, Lwaitama, Ulimwengu, Warioba nk.

Kwa hakika ni furaha kuu mbinguni na nchini, sauti nzito kama hizi zinaposikika.

Haipo shaka kuwa tuko katika njia sahihi.

Kwa hakika ni suala la muda tu, kwani inafahamika Mola hajawahi kuwaacha waja wake.

Eeh mola wetu ukawape ujasiri zaidi watumishi wako hawa kuweza kutufikisha kunako taifa la ahadi.

Taifa lenye utamalaki wa haki, uhuru usawa na demokrasia.

Eeh Mola wetu, ukatusikie.
Katika hili mimi naomba nitofautiane kidogo na huyu Kiongozi wangu na Role model wangu. Naomba aangalie signs kutoka kwa Kiongozi Mkuu wa ACT Wazalendo; Mh. Zitto Kabwe. Huyu mtu inaonyesha kama kuna kitu anajua, vinginevyo asingemwombea msamaha kwa Rais. Principle moja ya kuomba msamaha kawaida huwa ni kwamba mtu huwezi kuomba msamaha kama huna kosa, na vile vile, huwezi kuombewa msamaha kama huna kosa. Unless kama Mh. Zitto alikosea namna ya kuwasilisha hoja yake kwa Rais!
Na huu mjadala hapa sasa watu wanaweza wakasababisha asipewe tena msamaha kwa sababu Serikali wataogopa kumsamehe kwa kudhani kuwa wakimsamehe, wataonekana kuwa walikuwa wamanuonea, wakati wao wanajua kuwa siyo. Tuuacheni huu mjadala kama tunataka Mh. Mbowe asamehewe na atoke. Pia wale wanaoshinikiza kwa u-radical wa aina fulani, nao pia waache; wakiacha kuna uwezekano mkubwa akasamehewa. Tafadhali katika hili watu waache kushinikiza, kama wana nia njema ya kutaka Mh. Mbowe asamehewe
 
Na katika maisha yako yote, usije ukajaribu kuomba msamaha kama hujakosea au kumuombea msamaha mtu ambaye hajakosea; kufanya hivi ni blunder kubwa sana katika maisha
 
Hapa chini ni nukuu halisi kutokea kwa baba Askofu Lusekelo:

View attachment 2052368

Kauli yake inaakisi kauli za maaskofu na masheikh wengine wengi wakiwamo kina:

"Sheikh Ponda, Dr. Shoo, Niwemugizi, Mwamakula, Dr. Bagonza, na wengi wengine."

View attachment 2052523

Mwangwi kama huo unasikika kutokea kwa manguli kama kina Prof. Shivji, Lwaitama, Ulimwengu, Warioba nk.

Kwa hakika ni furaha kuu mbinguni na nchini, sauti nzito kama hizi zinaposikika.

Haipo shaka kuwa tuko katika njia sahihi.

Kwa hakika ni suala la muda tu, kwani inafahamika Mola hajawahi kuwaacha waja wake.

Eeh mola wetu ukawape ujasiri zaidi watumishi wako hawa kuweza kutufikisha kunako taifa la ahadi.

Taifa lenye utamalaki wa haki, uhuru usawa na demokrasia.

Eeh Mola wetu, ukatusikie.
yaani hao siyo watumishi wa dini hao ni wanasiasa tupu waliotajwa hapo ni watu uanaowaona kabisa ni wanachama wa chadema siasa na kuendesha dini ni vitu tofauti kama wanataka waendekuwa wanasiasa waache ujingawao
 
Katika hili mimi naomba nitofautiane kidogo na huyu Kiongozi wangu na Role model wangu. Naomba aangalie signs kutoka kwa Kiongozi Mkuu wa ACT Wazalendo; Mh. Zitto Kabwe. Huyu mtu inaonyesha kama kuna kitu anajua, vinginevyo asingemwombea msamaha kwa Rais. Principle moja ya kuomba msamaha kawaida huwa ni kwamba mtu huwezi kuomba msamaha kama huna kosa, na vile vile, huwezi kuombewa msamaha kama huna kosa. Unless kama Mh. Zitto alikosea namna ya kuwasilisha hoja yake kwa Rais!
Na huu mjadala hapa sasa watu wanaweza wakasababisha asipewe tena msamaha kwa sababu Serikali wataogopa kumsamehe kwa kudhani kuwa wakimsamehe, wataonekana kuwa walikuwa wamanuonea, wakati wao wanajua kuwa siyo. Tuuacheni huu mjadala kama tunataka Mh. Mbowe asamehewe na atoke. Pia wale wanaoshinikiza kwa u-radical wa aina fulani, nao pia waache; wakiacha kuna uwezekano mkubwa akasamehewa. Tafadhali katika hili watu waache kushinikiza, kama wana nia njema ya kutaka Mh. Mbowe asamehewe

Baba askofu ni akili kubwa. Huyu siyo size yako:

IMG_20211221_163114_082.jpg


Pilipili msizozila zina wawasha namna gani?
 
yaani hao siyo watumishi wa dini hao ni wanasiasa tupu waliotajwa hapo ni watu uanaowaona kabisa ni wanachama wa chadema siasa na kuendesha dini ni vitu tofauti kama wanataka waendekuwa wanasiasa waache ujingawao

Ila askofu Rashid siyo?

IMG_20211221_163114_082.jpg


Habari ndiyo hiyo.
 
Katika hili mimi naomba nitofautiane kidogo na huyu Kiongozi wangu na Role model wangu. Naomba aangalie signs kutoka kwa Kiongozi Mkuu wa ACT Wazalendo; Mh. Zitto Kabwe. Huyu mtu inaonyesha kama kuna kitu anajua, vinginevyo asingemwombea msamaha kwa Rais. Principle moja ya kuomba msamaha kawaida huwa ni kwamba mtu huwezi kuomba msamaha kama huna kosa, na vile vile, huwezi kuombewa msamaha kama huna kosa. Unless kama Mh. Zitto alikosea namna ya kuwasilisha hoja yake kwa Rais!
Na huu mjadala hapa sasa watu wanaweza wakasababisha asipewe tena msamaha kwa sababu Serikali wataogopa kumsamehe kwa kudhani kuwa wakimsamehe, wataonekana kuwa walikuwa wamanuonea, wakati wao wanajua kuwa siyo. Tuuacheni huu mjadala kama tunataka Mh. Mbowe asamehewe na atoke. Pia wale wanaoshinikiza kwa u-radical wa aina fulani, nao pia waache; wakiacha kuna uwezekano mkubwa akasamehewa. Tafadhali katika hili watu waache kushinikiza, kama wana nia njema ya kutaka Mh. Mbowe asamehewe
Kama unafuatilia yote yanayojili mahakamani kwene iyo kesi huwezi kuwa na doubts juu ya kesi ya mbowe.....toka kesi imeanza hakuna matukio ya ugaidi wameyazungumza, sasa mwishoni mwa kesi ndo wataeleza ugaidi wa mbowe na wenzie? Ugaidi wa kufadhiliwa na laki mbili, na bastola yenye risasi sjui maganda yasiyoendana na bastola enyewe, ugaidi unafanyika bila vilipuzi walivosema wanalipua, ugaidi ukafanyika hai kilimanjaro lakini walioujua ni kina kingai, j4 sjui na mahita ambao hata hawako kilimanjaro, eti shahidi muuza mbege anaenda kutoa ushahidi mahakamani bastola anielezea anaijua utafikiri anaimiliki yeye, jambo kubwa kiasi iko linapangwa kufanyika nchi nzima lakini hakuna kiongozi yeyote wa kamati ya ulinzi na usalama iwe ya mkoa au wilaya aliye na taarifa hizo! Kesi imebaki tu ya kingai mahita jumanne ambako hata mkoani kwao huo ugaidi haujafanyika, haya huyo jumanne mwenyewe kasimamishwa kazi kwa kumbambikia mzee wa watu pembe za ndovu, inamaana walijichagua wanaojiaminia kufanya uharamia wakajipanga kufanya huo upuuzi imagine wanasema walipanga kuwadhuru viongozi wa kitaifa wanaambiwa wataje shahidi anataja "sabaya ", huyo tayari ushamtaja taja wengine maana umesema na viongozi wengine anarudia "sabaya" huo ni mchongo
 
DINI ndio kitu pekee ambapo MPUMBAVU HUMWONGOZA MWEREVU.
Yaan wewe LUSEKELO awe mtumishi kabisa kwa akili yako?

Utakuwa unamchanganya Mzee wa upako na nduguzo hawa?

IMG_20211221_134205_429.jpg
 
Hapa chini ni nukuu halisi kutokea kwa baba Askofu Lusekelo:

View attachment 2052368

Kauli yake inaakisi kauli za maaskofu na masheikh wengine wengi wakiwamo kina:

"Sheikh Ponda, Dr. Shoo, Niwemugizi, Mwamakula, Dr. Bagonza, na wengi wengine."

View attachment 2052523

Mwangwi kama huo unasikika kutokea kwa manguli kama kina Prof. Shivji, Lwaitama, Ulimwengu, Warioba nk.

Kwa hakika ni furaha kuu mbinguni na nchini, sauti nzito kama hizi zinaposikika.

Haipo shaka kuwa tuko katika njia sahihi.

Kwa hakika ni suala la muda tu, kwani inafahamika Mola hajawahi kuwaacha waja wake.

Eeh mola wetu ukawape ujasiri zaidi watumishi wako hawa kuweza kutufikisha kunako taifa la ahadi.

Taifa lenye utamalaki wa haki, uhuru usawa na demokrasia.

Eeh Mola wetu, ukatusikie.

Mama mishandling ya hiii kesi Ni shimo kubwa sana anajichimbia; atakua hana pakushika;waliomuingiza mweli wamemfix

Kama ana watu wanaomfanyia polularity rating ndani ya mfumo watamuambia ukweli kiwango chake cha kukubalika kimendelea kushuka ; wenzake ndani ya ccm wanamtengenezea jungu la kupendelea ( japo ni propaganda kadiri anavyoacha wanaaminika) ; wasaidizi wake wakuuu wako busy kusaka Urais … yeye yuko busy na Mbowe mtu ambaye toka mwanzo alionekana kumuunga mkono
Hoja ya katiba na uchaguzi tayari imeshafika mbali sana haiwezi kuzimika hata ndani ya serikali wameshaona madhara ya katiba mbaya

Magufuli pamoja na ubabe wake hakuwahi kumshambulia Mbowe direcf tena alikua akiwa naye anajichekesha huku akitumia watu wengine kumshughulikia ….
 
Back
Top Bottom